Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali