Kumiliki maisha ya hadhi ya juu Tanzania ni ngumu bila kuwa sekta moja wapo kati ya hizi

Kumiliki maisha ya hadhi ya juu Tanzania ni ngumu bila kuwa sekta moja wapo kati ya hizi

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day

Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi

1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi

Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶

👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.

👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo

Jikubali
 
Siku moja nilikaa na kibarua mmoja hivi alikuwa anasimamia ujenzi wa nyumba hapa jirani na kwangu. Yule jamaa akawa mshikaji sana, siku moja nikapata muda wa kupiga naye stori. Akaniambia amekuwa kibarua wa matajiri wengi sana hapa mkoa. Stori zikanoga acha aanze kufunguka siri za hao matajiri. Nikakuta wengi wao ni utajiri wa kishirikina. Alinipa historia ya utajiri wao mbaka nikabaki kushangaa tu. Mara huyu mganga wake yupo sehemu fulani, yule ameua ndugu yake mwaka fulani, huyu ametia uchizi watoto wake kina fulani. Yaani zile za ndani sana mpaka majina.

Nikaona sihitaji kuona tamaa, nikawe na maisha yangu ya kawaida tu, mke mzuri, magari mazuri, nyumba nzuri, mshahara wa uhakika, nikisubiri pensheni. Sitaki shida
 
Ha
Siku moja nilikaa na kibarua mmoja hivi alikuwa anasimamia ujenzi wa nyumba hapa jirani na kwangu. Yule jamaa akawa mshikaji sana, siku moja nikapata muda wa kupiga naye stori. Akaniambia amekuwa kibarua wa matajiri wengi sana hapa mkoa. Stori zikanoga acha aanze kufunguka siri za hao matajiri. Nikakuta wengi wao ni utajiri wa kishirikina. Alinipa historia ya utajiri wao mbaka nikabaki kushangaa tu. Mara huyu mganga wake yupo sehemu fulani, yule ameua ndugu yake mwaka fulani, huyu ametia uchizi watoto wake kina fulani. Yaani zile za ndani sana mpaka majina.

Nikaona sihitaji kuona tamaa, nikawe na maisha yangu ya kawaida tu, mke mzuri, magari mazuri, nyumba nzuri, mshahara wa uhakika, nikisubiri pensheni. Sitaki shida
Watu wakikueleza walivofanikiwa inashangaza sana! Tubaki tu kwenye kipato cha buku kadhaa
 
Siku moja nilikaa na kibarua mmoja hivi alikuwa anasimamia ujenzi wa nyumba hapa jirani na kwangu. Yule jamaa akawa mshikaji sana, siku moja nikapata muda wa kupiga naye stori. Akaniambia amekuwa kibarua wa matajiri wengi sana hapa mkoa. Stori zikanoga acha aanze kufunguka siri za hao matajiri. Nikakuta wengi wao ni utajiri wa kishirikina. Alinipa historia ya utajiri wao mbaka nikabaki kushangaa tu. Mara huyu mganga wake yupo sehemu fulani, yule ameua ndugu yake mwaka fulani, huyu ametia uchizi watoto wake kina fulani. Yaani zile za ndani sana mpaka majina.

Nikaona sihitaji kuona tamaa, nikawe na maisha yangu ya kawaida tu, mke mzuri, magari mazuri, nyumba nzuri, mshahara wa uhakika, nikisubiri pensheni. Sitaki shida
fundi anafahamu siri za utajiri za matajiri ila ajatoboa mpaka leo, atakwambia hana tamaa ni uwongo hafahamu chochote kile
 
Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day

Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi

1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi

Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶

👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.

👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo

Jikubali
But unaweza kupambana na ukamiliki hata kwa kuuza keki tu
 
Unajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day

Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi

1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi

Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶

👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
?
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo

Jikubali
Pesa ya ku spend 5 million per day unazifanyia nini? Una uraibu wa kucheza kamali?

Kwa mtu wa kawaida anayeishi miji ya gharama kabisa duniani kama Hong Kong, China, Singapore, Geneva Switzerland, Tokyo Japan, New York City, USA, London UK, Los Angeles, USA, kote huko bado hakujafikia maisha ya gharama hiyo.

Sasa shilingi milioni 5 kwa siku Tanzania unaendesha familia au timu ya soka?
 
Kote huko sipo, ila najua kwenye hii nchi kuna siku nitaulizwa nitolee maelezo ya pesa nilizonazo kwenye bank account.

Sio Sasa hivi ila miaka kadhaa ijayo.
Kwa mfano shamba imekaa miaka 10 baadaye likawa 500 hundred worth hapo Sawa hii inaeleweka kabsa
 
Siku moja nilikaa na kibarua mmoja hivi alikuwa anasimamia ujenzi wa nyumba hapa jirani na kwangu. Yule jamaa akawa mshikaji sana, siku moja nikapata muda wa kupiga naye stori. Akaniambia amekuwa kibarua wa matajiri wengi sana hapa mkoa. Stori zikanoga acha aanze kufunguka siri za hao matajiri. Nikakuta wengi wao ni utajiri wa kishirikina. Alinipa historia ya utajiri wao mbaka nikabaki kushangaa tu. Mara huyu mganga wake yupo sehemu fulani, yule ameua ndugu yake mwaka fulani, huyu ametia uchizi watoto wake kina fulani. Yaani zile za ndani sana mpaka majina.

Nikaona sihitaji kuona tamaa, nikawe na maisha yangu ya kawaida tu, mke mzuri, magari mazuri, nyumba nzuri, mshahara wa uhakika, nikisubiri pensheni. Sitaki shida
Ndo huwa story zao, fundi wetu pia amesha nipa hadithi ya story hizo.

Kweli vipo, ila most of the story tellers ni fiction writers.

ila swali jepesi, Kama ni rahisi hivyo mbona yeye ana jua??.
Nani ata taka kuwa na mtonyo, halafu chanzo chake kisicho halali kijulikane.
 
Back
Top Bottom