Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Kwanza yeye ni nani mpaka ifikie hatua ya kuambiwa siri nzito namna hiyo?fundi anafahamu siri za utajiri za matajiri ila ajatoboa mpaka leo, atakwambia hana tamaa ni uwongo hafahamu chochote kile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza yeye ni nani mpaka ifikie hatua ya kuambiwa siri nzito namna hiyo?fundi anafahamu siri za utajiri za matajiri ila ajatoboa mpaka leo, atakwambia hana tamaa ni uwongo hafahamu chochote kile
Mwanangu kwenye uwanja wa vita kuna mambo ambayo hayasemwi mkuu Ebu niambiye wewe ni mtu wa kawaida how can you 100 hundred milion kwa kuuza viazi mviringo tu?Hizi ni kauli za kurudi nyuma kwenye uwanja wa vita.
Siamini kwenye Mungu,Uchawi na mizimu vyote mi siviaminiHuamini katika uchawi mkuu
But unaweza kupambana na ukamiliki hata kwa kuuza keki tu
Kwahyo mwanangu wewe ulijiumba siyo mkuuSiamini kwenye Mungu,Uchawi na mizimu vyote mi siviamini
UaPesa ya ju spend 5 milli9n per day unazifanyia nini? Una uraibu wa kucheza kamali?
Kwa mtu wa kawaida anayeishi mIji ya gharama kabisa duniani kama Hong Kong, China, Singapore, Geneva Switzerland, Tokyo Japan, New Yoek City, USA, London UK, Los Angeles, USA, kote huko bado hakujafikia maisha ya gharama hiyo.
Sasa shilingi milioni 5 kwa siku Tanzania unaendesha familia au timu ya soka?
Mkuu ni ngumu sana kuficha kama mali zako ni za kishirikina. Imagine umetia uchizi watoto, utawaficha? Au utajiri wa kidonda utaficha?swali jeoesi, Kama ni rahisi hivyo mbona yeye ana jua??.
Nani ata taka kuwa na mtonyo, halafu chanzo chake kisicho halali kijulikane.
Yeah,Hapa Tanzania wapo watu wanafanya birthday za milion 200. Sembuse kutumia 5M per day just imagine kwenda samaki samaki pale Milion moja unaweza ukaikata mwenyewe sembuse M tano mkuu
Ua
Pesa ya ju spend 5 milli9n per day unazifanyia nini? Una uraibu wa kucheza kamali?
Kwa mtu wa kawaida anayeishi mIji ya gharama kabisa duniani kama Hong Kong, China, Singapore, Geneva Switzerland, Tokyo Japan, New Yoek City, USA, London UK, Los Angeles, USA, kote huko bado hakujafikia maisha ya gharama hiyo.
Sasa shilingi milioni 5 kwa siku Tanzania unaendesha familia au timu ya soka?
Ni kweli, kwenye site ya jobless pro max. Kuna mzee same business.Mkuu ni ngumu sana kuficha kama mali zako ni za kishirikina. Imagine umetia uchizi watoto, utawaficha? Au utajiri wa kidonda utaficha?
Wachungaji matapeli umewasahauUnajikuta una fantasy za kumiliki mjengo, mikubwa, apartment kubwa kubwa, gari za bei mbaya watoto wasome shule zenye status!, uwe na pesa za kuspend 5million per day
Lakini ukweli mchungu huwezi kumiliki hivo vitu kama haupo sehemu moja wapo kati ya hizi
1.Siasa ya unafiki unafiki
2. Huna kipaji
3.biashara haramu,
4.uchawi
Bila hivi sahau range rover, sahau V8🥶
👉Muhimu usijeona maisha ya wengine ukadhani wewe umetengwa na dunia.
👉Hesabu Yale mazuri Mungu aliyokupa, usihesabu mapungufu ama Kasoro ulizonazo
Jikubali
Kama shida yako ni kutumia pesa kwa fujo tu hizo hoteli zote mshenzi.Kuna hotels mkuu hapa bongo kulala siku 1 inacost 1000+$
Msosi unacost 250+ $ ukiwa na family labda wife,mtoto 1 plus wewe .
Total inakuwa 2000+$ apo milion tano kwisha habari yake
www.forbes.com
Kuna mtu kasema huwezi spend 2000$ per dayKama shida yako ni kutumia pesa kwa fujo tu hizo hoteli zote mshenzi.
Tanzania retreat Thanda Island gharama yake ni $10,000 kwa siku.
So what is your point?
![]()
Thanda Island: Tanzania's $10,000-A-Night Private Retreat
For $10,000 a night, guests can rent their own private island off the coast of Tanzania and live in complete luxury—and absolute privacy.www.forbes.com
Kila kitu ni mchakato mkuu, ushindani upo Kila pahala na kwenye ushindani huu wa kwenye biashara wote tunapambania kitu kimoja kwa maana ya fedha, na kwenye mapambano Kila mtu anapambana kwa kutumia silaha yake anayoijua yeye.Mwanangu kwenye uwanja wa vita kuna mambo ambayo hayasemwi mkuu Ebu niambiye wewe ni mtu wa kawaida how can you 100 hundred milion kwa kuuza viazi mviringo tu?
Matumizi mabaya ya lugha.Kuna mtu kasema huwezi spend 2000$ per day
Ana sema asilo lijua, pengine story za vijiweni.Yeah,
Lakini utafanya birthday ya milioni 200 mara ngapi kwa mwaka? Halafu, huko ni kujifaragua maalum, ukitaka kutumia hela nyingi kwa mpigo unaweza hata kutumia US dola bilioni 1 kwa siku, kwa kuzigawa tu.
Lakini je, hayo ni matumizi ya kawaida ambayo kila mtu anatakiwa kuyaota?
Let's be real and stop these outlandish fantasies.
Watu Wana zalisha unga wa sembe(ugali) na Wana pata, usi ulize kwenye mchele ndo kabisa.Mwanangu kwenye uwanja wa vita kuna mambo ambayo hayasemwi mkuu Ebu niambiye wewe ni mtu wa kawaida how can you 100 hundred milion kwa kuuza viazi mviringo tu?