Kumilikisha bandari kwa wageni kunaathiri maslahi mapana ya kiusalama na kiuchumi ya nchi

Kumilikisha bandari kwa wageni kunaathiri maslahi mapana ya kiusalama na kiuchumi ya nchi

Nyumisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
13,499
Reaction score
19,292
Jana alijitokeza yule bush doctor kwenye vyombo vya habari akishambulia ufanisi duni wa bandari kama kigezo cha kumuuzia mwarabu na kwamba mapato yatokanayo na bandari ni pesa kidogo sana. Lakini huyu bush doctor ameshindwa kutambua kuwa tatizo la nchi hii siyo mapato bali ni ufisadi uliopindukia na matumizi holela ya pesa za umma.

Hii maana yake ni kwamba anataka kuathiri usalama wa nchi kiulinzi na kiuchumi akilenga kupata mapato makubwa yatokanayo na bandari ambayo kimsingi hayana msaada wowote kutokana na ubadhirifu na matumizi holela ya pesa za umma. Hayati Magufuli aliwahi kukiri kwamba nchi hii ina pesa nyingi sana hadi kuipa hadhi ya kuweza kuwa donor country.

Kwa hiyo point ya msingi iliyopo hapa ni kwamba bandari inamilikishwa kwa wageni jambo ambalo ni hatari kwenye usalama wa nchi na ulinzi wa rasilimali zetu yakiwemo madini na wanyamapori. Swala la ufanisi linaweza kufanyiwa kazi na TPA kwa ubia na kampuni za kitanzania au kampuni za nje lakini si kwa mkataba unaotoa umiliki wa bandari kwa wageni.

Nawasilisha.​
 
Jana alijitokeza yule bush doctor kwenye vyombo vya habari akishambulia ufanisi duni wa bandari kama kigezo cha kumuuzia mwarabu na kwamba mapato yatokanayo na bandari ni pesa kidogo sana. Lakini huyu bush doctor ameshindwa kutambua kuwa tatizo la nchi hii siyo mapato bali ni ufisadi uliopindukia na matumizi holela ya pesa za umma.

Hii maana yake ni kwamba anataka kuathiri usalama wa nchi kiulinzi na kiuchumi akilenga kupata mapato makubwa yatokanayo na bandari ambayo kimsingi hayana msaada wowote kutokana na ubadhirifu na matumizi holela ya pesa za umma. Hayati Magufuli aliwahi kukiri kwamba nchi hii ina pesa nyingi sana hadi kuipa hadhi ya kuweza kuwa donor country.

Kwa hiyo point ya msingi iliyopo hapa ni kwamba bandari inamilikishwa kwa wageni jambo ambalo ni hatari kwenye usalama wa nchi na ulinzi wa rasilimali zetu yakiwemo madini na wanyamapori. Swala la ufanisi linaweza kufanyiwa kazi na TPA kwa ubia na kampuni za kitanzania au kampuni za nje lakini si kwa mkataba unaotoa umiliki wa bandari kwa wageni.
Nawasilisha.​
Hakuna kitu kama hicho, mnataja taja mambo kiujumla bila ya kuelezea how.
 
Jana alijitokeza yule bush doctor kwenye vyombo vya habari akishambulia ufanisi duni wa bandari kama kigezo cha kumuuzia mwarabu na kwamba mapato yatokanayo na bandari ni pesa kidogo sana. Lakini huyu bush doctor ameshindwa kutambua kuwa tatizo la nchi hii siyo mapato bali ni ufisadi uliopindukia na matumizi holela ya pesa za umma.

Hii maana yake ni kwamba anataka kuathiri usalama wa nchi kiulinzi na kiuchumi akilenga kupata mapato makubwa yatokanayo na bandari ambayo kimsingi hayana msaada wowote kutokana na ubadhirifu na matumizi holela ya pesa za umma. Hayati Magufuli aliwahi kukiri kwamba nchi hii ina pesa nyingi sana hadi kuipa hadhi ya kuweza kuwa donor country.

Kwa hiyo point ya msingi iliyopo hapa ni kwamba bandari inamilikishwa kwa wageni jambo ambalo ni hatari kwenye usalama wa nchi na ulinzi wa rasilimali zetu yakiwemo madini na wanyamapori. Swala la ufanisi linaweza kufanyiwa kazi na TPA kwa ubia na kampuni za kitanzania au kampuni za nje lakini si kwa mkataba unaotoa umiliki wa bandari kwa wageni.

Nawasilisha.​
It’s a done deal. Get used to it or hit the highway. Tutegemee wakwepa kodi sugu kama GSM na Silent Ocean kuanza kutoa uharo.
 
Hakuna kitu kama hicho, mnataja taja mambo kiujumla bila ya kuelezea how.
yaan we acha tu . hawa watu ukiwafatisha anayosema humu unaweza jua nchi haipo. ila ukitumia akili yq kuchambua na kufuatilia kikichosemwa leo bungeni ndoo unaelewa kuna watu wapotoshaji
 
Hayo mambo ya «usalama wa taifa» yatakuathiri vipi wewe mla chipsi mayai na mpanda boda? Tulia, wenye nchi washayafikiria hayo yote. Wewe endelea kupanda boda, mambo ya usalama wa taifa utaishia kuyataja na kuyasoma humu JF tu.
 
Tunakipi cha kukilinda zaidi sisi? Mbona kulikua na tuhuna za kupitishwa twiga airport ?
 
Alaumiwe aliyetuachia aina hii ya wabunge au aliyeleta hii mikataba na kuipitisha?
 
Jana alijitokeza yule bush doctor kwenye vyombo vya habari akishambulia ufanisi duni wa bandari kama kigezo cha kumuuzia mwarabu na kwamba mapato yatokanayo na bandari ni pesa kidogo sana. Lakini huyu bush doctor ameshindwa kutambua kuwa tatizo la nchi hii siyo mapato bali ni ufisadi uliopindukia na matumizi holela ya pesa za umma.

Hii maana yake ni kwamba anataka kuathiri usalama wa nchi kiulinzi na kiuchumi akilenga kupata mapato makubwa yatokanayo na bandari ambayo kimsingi hayana msaada wowote kutokana na ubadhirifu na matumizi holela ya pesa za umma. Hayati Magufuli aliwahi kukiri kwamba nchi hii ina pesa nyingi sana hadi kuipa hadhi ya kuweza kuwa donor country.

Kwa hiyo point ya msingi iliyopo hapa ni kwamba bandari inamilikishwa kwa wageni jambo ambalo ni hatari kwenye usalama wa nchi na ulinzi wa rasilimali zetu yakiwemo madini na wanyamapori. Swala la ufanisi linaweza kufanyiwa kazi na TPA kwa ubia na kampuni za kitanzania au kampuni za nje lakini si kwa mkataba unaotoa umiliki wa bandari kwa wageni.

Nawasilisha.​
Hivi bandari zimeuzwa au zinaendeshawa kwa ubia wa serikali na menejiment ya Dubai?
 
Jana alijitokeza yule bush doctor kwenye vyombo vya habari akishambulia ufanisi duni wa bandari kama kigezo cha kumuuzia mwarabu na kwamba mapato yatokanayo na bandari ni pesa kidogo sana. Lakini huyu bush doctor ameshindwa kutambua kuwa tatizo la nchi hii siyo mapato bali ni ufisadi uliopindukia na matumizi holela ya pesa za umma.

Hii maana yake ni kwamba anataka kuathiri usalama wa nchi kiulinzi na kiuchumi akilenga kupata mapato makubwa yatokanayo na bandari ambayo kimsingi hayana msaada wowote kutokana na ubadhirifu na matumizi holela ya pesa za umma. Hayati Magufuli aliwahi kukiri kwamba nchi hii ina pesa nyingi sana hadi kuipa hadhi ya kuweza kuwa donor country.

Kwa hiyo point ya msingi iliyopo hapa ni kwamba bandari inamilikishwa kwa wageni jambo ambalo ni hatari kwenye usalama wa nchi na ulinzi wa rasilimali zetu yakiwemo madini na wanyamapori. Swala la ufanisi linaweza kufanyiwa kazi na TPA kwa ubia na kampuni za kitanzania au kampuni za nje lakini si kwa mkataba unaotoa umiliki wa bandari kwa wageni.

Nawasilisha.​
toa mfano wa nchi iliyoathirika

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Dp world wamepewa bandari USA waendeshe
Wamepewa bandari UK waendeshe
Wamepewa bandari ujerumani
Belgium, Senegal, misri na nchi nyingi Tu ..
Huko kote hawajahatarisha usalama wao ...Ila Sisi waimba singeli na kubishana Mpira siku nzima ndo kuna "hatari"???
 
Dp world wamepewa bandari USA waendeshe
Wamepewa bandari UK waendeshe
Wamepewa bandari ujerumani
Belgium, Senegal, misri na nchi nyingi Tu ..
Huko kote hawajahatarisha usalama wao ...Ila Sisi waimba singeli na kubishana Mpira siku nzima ndo kuna "hatari"???
Usijaribu kutulinganisha sisi na hizo developed countries, hapa kuna tatizo la msingi ila kwa sababu wameamua kukaza fuvu either kwa sababu wamekuwa influenced na rushwa na mambo mengine ambayo hatuyajui waendelee tu.
 
Dp world wamepewa bandari USA waendeshe
Wamepewa bandari UK waendeshe
Wamepewa bandari ujerumani
Belgium, Senegal, misri na nchi nyingi Tu ..
Huko kote hawajahatarisha usalama wao ...Ila Sisi waimba singeli na kubishana Mpira siku nzima ndo kuna "hatari"???
Kweli ccm hamnazo unaringanisha tz na marekeni ambazo zina well and the most sophiscated system za kiulinzi halafu huko ulikokutaja hawajamuachia mwarabu amiliki %100 bila kuulizwa..
 
Back
Top Bottom