kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 63
Hotuba ya Dr, mwakyembe leo iliambatana na mbwembwe, matusi na dharau za kila aina, Lakini matusi yalizidi pale alipotaka wananchi wamchague kikwete na wananchi kupinga wazi wazi.
Alianza kumpigia debe Kikwete kwa kuwaeleza watu kuwa Kikwete anampango wa muda mrefu wa kuleta maendeleo Kyela, wananchi walipinga wazi wazi na akawaambia kuwa yeye alidhani anaongea na watu wenye akili, hakutegemea watu kupiga kelele za kupinga.
Hakuishia hapo akasema kama kuna mwanaume apite mbele ya mkutano na kisha wampigie simu Dr Slaa kwa pamoja halafu waone simu ya nani nitapokelewa. Hivyo yeye anamfahamu Dr Slaa na kusema hawezi kuwa na maendeleo kwa Kyela. Dr. Mwakyembe leo haliishiwa hoja kabisa.
Mkutano wake ulianza vizuri kwa kuleta stori za kupitisha jina lake ndani ya chama, na alimaliza huku akiacha watu wamechukia na wengine kuondoka pale alipomtetea kikwete na kutaka watu wamchague; upinzani alioupata ni somo kwake kuwa huyu mtu abebeki.
Watu wamemshauri ni bora ajipie kampeni yeye na mengine amwachie Kikwete mwenyewe.
Alianza kumpigia debe Kikwete kwa kuwaeleza watu kuwa Kikwete anampango wa muda mrefu wa kuleta maendeleo Kyela, wananchi walipinga wazi wazi na akawaambia kuwa yeye alidhani anaongea na watu wenye akili, hakutegemea watu kupiga kelele za kupinga.
Hakuishia hapo akasema kama kuna mwanaume apite mbele ya mkutano na kisha wampigie simu Dr Slaa kwa pamoja halafu waone simu ya nani nitapokelewa. Hivyo yeye anamfahamu Dr Slaa na kusema hawezi kuwa na maendeleo kwa Kyela. Dr. Mwakyembe leo haliishiwa hoja kabisa.
Mkutano wake ulianza vizuri kwa kuleta stori za kupitisha jina lake ndani ya chama, na alimaliza huku akiacha watu wamechukia na wengine kuondoka pale alipomtetea kikwete na kutaka watu wamchague; upinzani alioupata ni somo kwake kuwa huyu mtu abebeki.
Watu wamemshauri ni bora ajipie kampeni yeye na mengine amwachie Kikwete mwenyewe.
