Kumlaumu Dkt. Ayub Rioba kutoibadilisha TBC ukijua TBC ni CCM B ni kutaka kutuonyesha chuki zako dhidi yake

Kumlaumu Dkt. Ayub Rioba kutoibadilisha TBC ukijua TBC ni CCM B ni kutaka kutuonyesha chuki zako dhidi yake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama Tido Mhando aliyekuwa Mweledi kabisa akitokea BBC alishindwa Kuibadilisha TBC hadi kuondoka / kuondolewa leo hii unataka kabisa Dkt. Rioba ambae nae hatofautiani sana Kiuweledi na Mzee Tido Dustan Mhando aibadili TBC iwe utakavyo Wewe wakati unajua fika kuwa TBC na CCM ni sawa sawa na Simba SC na Migogoro ya kila Kukicha?

Mambo mengine huwa yanahitaji Upeo mkubwa sana kuyajua na kuyaelewa kabla ya Kuanza Kukurupuka kuyaulizia.
 
Hata anaemlaumu pia akiwa pale atafanya anavyofanya kile ni chombo Cha serikali kama ilivyo Al Jazeera (huwezi kuwa pale Kisha ukasimama upande wa Israel)
Lakini amejitahidi kiasi chake Kuna ka modernity ndani ya tbc pamoja na changamoto wanazopitia
 
Hata anaemlaumu pia akiwa pale atafanya anavyofanya kile ni chombo Cha serikali kama ilivyo Al Jazeera (huwezi kuwa pale Kisha ukasimama upande wa Israel)
Lakini amejitahidi kiasi chake Kuna ka modernity ndani ya tbc pamoja na changamoto wanazopitia
GENTAMYCINE huwa napenda sana kukutana na Intelligents JamiiForums Members kama hivi Wewe Mkuu. Heko sana.
 
Back
Top Bottom