Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kila kocha uwa anao mfumo wake na aina ya wachezaji anaowataka kwenye mfumo husika, kitendo cha kumtoa chama kocha ameona aendani na kile anachokitaka hasa kasi kati kati ya uwanja, uyu kocha inaonekana ni muumini wa soka la kasi ndio maana amewakubali kina kibu denis wakati mashabiki wanawakataa.
Chama kwa soka lake la kutembea kama kinyonga ajiangalie sana anaweza kuwa anaanzia benchi mbele ya uyu kocha vinginevyo ajirekebishe na hiyo ndio hasara ya kubadilisha makocha bila mpangilio, kuna watakaonufaika na kocha mpya na kuna watakaorudi benchi.
Kwa maana hiyo asilaumiwe kocha yeye ndiye anayejua anataka nini kwenye kuijenga timu anayotaka, Mashabiki mnaomuona chama kama Mungu mtu jiandaeni kisaikolojia
Chama kwa soka lake la kutembea kama kinyonga ajiangalie sana anaweza kuwa anaanzia benchi mbele ya uyu kocha vinginevyo ajirekebishe na hiyo ndio hasara ya kubadilisha makocha bila mpangilio, kuna watakaonufaika na kocha mpya na kuna watakaorudi benchi.
Kwa maana hiyo asilaumiwe kocha yeye ndiye anayejua anataka nini kwenye kuijenga timu anayotaka, Mashabiki mnaomuona chama kama Mungu mtu jiandaeni kisaikolojia