Kumlaumu kocha kwa kumtoa Chama ni kuikosea heshima taaluma yake

Kumlaumu kocha kwa kumtoa Chama ni kuikosea heshima taaluma yake

Kuleta kocha mpya ni kosa kubwa wamefanya viongozi wa Simba, mgunda hakua na shida yoyote, badala ya kumuongezea nguvu ya wachezaji wazuri eti analetewa kocha mkuu, alafu kibu denga bado yupo pale
 
Sawa, nimepokea marekebisho hayo nilidhani CSK pekee ndiyo walibadili timu nzima maana sikuangalia game yote.
Nimemaanisha CSKA MOSCOW walibadili timu nzima kipindi cha pili. waliocheza kipindi cha kwanza hawakucheza tena kipindi cha pili
 
Nimemaanisha CSKA MOSCOW walibadili timu nzima kipindi cha pili. waliocheza kipindi cha kwanza hawakucheza tena kipindi cha pili
Hilo mbona na mimi nilisema kwenye post yangu? Nikasema Robertinho alibadili baadhi ya wachezaji wa Simba na ndiyo wakaenda kubadili mchezo kipindi cha pili.
 
Kòcha kaja na mifumo yake, kikubwa ni kwamba hawa makocha wazungu huwa na misimamo na wanaamini ktk taaluma zao na hawakubali kupangiwa.

Chama abadilike acheze kocha anavotaka au chama akae bench
 
Kila kocha uwa anao mfumo wake na aina ya wachezaji anaowataka kwenye mfumo husika, kitendo cha kumtoa chama kocha ameona aendani na kile anachokitaka hasa kasi kati kati ya uwanja, uyu kocha inaonekana ni muumini wa soka la kasi ndio maana amewakubali kina kibu denis wakati mashabiki wanawakataa.

Chama kwa soka lake la kutembea kama kinyonga ajiangalie sana anaweza kuwa anaanzia benchi mbele ya uyu kocha vinginevyo ajirekebishe na hiyo ndio hasara ya kubadilisha makocha bila mpangilio, kuna watakaonufaika na kocha mpya na kuna watakaorudi benchi.

Kwa maana hiyo asilaumiwe kocha yeye ndiye anayejua anataka nini kwenye kuijenga timu anayotaka, Mashabiki mnaomuona chama kama Mungu mtu jiandaeni kisaikolojia
Kisinda na mambio yake kuliko chama kuna lipi alilofanya?

Hivi ana goli ama assist ngapi tangu arudi utopoloni pale
 
-Mpira siyo riadha, mpira wa sasa ni fani,na weledi
-Jana mpira ulitambaa badala ya kutembea, bado kuna kazi ya kufanya kufikia malengo ya klabu.
-Kama mwendo ndiyo huu,sioni utulivu na amani ndani ya klabu ya SIMBA,na Kocha mpya atafungusha virago vyake mapema.
-Mwekezaji ametumia karibu billion 2 Dubai kwa mpira ule.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kocha anajua kusoma mchezo na kufanya marekebisho haraka. Alifanya marekebisho game na CSK yakaleta matunda.

Hii ilikuwa ni weakness watu wanailalamikia kwa Mgunda. Cha muhimu apunguze experiments au achague game sahihi za kufanya majaribio. Wakati mwingine ni busara zaidi kuplay safe.

Pia Kibu anahitaji msaada wa kisaikolojia, apewe mapumziko hayupo sawa. Hili nimelisema sana humu.
Umeshasema kocha anajua kusoma mchezo, ajabu unamwambia tena apunguze experiments, acheze safe, ukimaanisha awe muoga..

Hakuna kocha anayejitambua hapa duniani atafuata ushauri wako, kuwa kocha ni kuchukua maamuzi magumu bila kujali matokeo ya mwisho, akishinda anasifiwa, timu ikifungwa lawama zinaenda kwake mkitaka mfukuzeni, hayo ndio maisha ya makocha wenye akili zao.

Hatutaki makocha waoga wanaoogopa hata kufanya sub, timu inakuwa static haitembei, mbinu hizo hizo muda wote wa mchezo, bila kujali kama mpinzani wako amebadilisha mbinu zake, matokeo yake ni kufungwa kipindi cha pili tu..
 
Kòcha kaja na mifumo yake, kikubwa ni kwamba hawa makocha wazungu huwa na misimamo na wanaamini ktk taaluma zao na hawakubali kupangiwa.

Chama abadilike acheze kocha anavotaka au chama akae bench
Kocha ndio abadilike ajue namna ya kumtumia Chama na akishindwa hivyo bora atuachie timu yetu ...... hatuwezi kuwa na kocha anayemfanyia sub Chama dk 34 tu hiyo sio Simba tunayoitaka na hata angeshinda 5 kwa ujinga ule siwezi kukubali

Kocha ajitathmini sana
 
-Mpira siyo riadha, mpira wa sasa ni fani,na weledi
-Jana mpira ulitambaa badala ya kutembea, bado kuna kazi ya kufanya kufikia malengo ya klabu.
-Kama mwendo ndiyo huu,sioni utulivu na amani ndani ya klabu ya SIMBA,na Kocha mpya atafungusha virago vyake mapema.
-Mwekezaji ametumia karibu billion 2 Dubai kwa mpira ule.



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kweli watu tunatofautiana ufahamu wa haya mambo. Moja ya mapungufu ya Simba tena niliwahi kuyasema sana humu ndani yalikuwa kupenda au kulazimika kurudisha mipira nyuma sana na kushindwa kupenetrate mipira pale kati. Jana hatukuona mapungufu yale. Tuliona hata timu inabadili uwanja kwa mipira mirefu. Wengine wanaita hiyo butua butua lakini hiyo ni timu inayojua kutanua uwanja. Jana kungekuwa na safu nzuri pale mbele, Simba alikuwa na goli kama 3 zaidi.

Ukiacha kasi, mpira unatakiwa kuwa na wachezaji wenye uwezo wa kumiliki na kugawa mpira mifupi na mirefu kwa usahihi wakati huo huo kuweka pressure kwa timu pinzani. Hilo ni moja ya mabadiliko makubwa niliyoyaona jana.
 
Umeshasema kocha anajua kusoma mchezo, ajabu unamwambia tena apunguze experiments, acheze safe, ukimaanisha awe muoga..

Hakuna kocha anayejitambua hapa duniani atafuata ushauri wako, kuwa kocha ni kuchukua maamuzi magumu bila kujali matokeo ya mwisho, akishinda anasifiwa, timu ikifungwa lawama zinaenda kwake mkitaka mfukuzeni, hayo ndio maisha ya makocha wenye akili zao.

Hatutaki makocha waoga wanaoogopa hata kufanya sub, timu inakuwa static haitembei, mbinu hizo hizo muda wote wa mchezo, bila kujali kama mpinzani wako amebadilisha mbinu zake, matokeo yake ni kufungwa kipindi cha pili tu..
Sikupingi
 
Back
Top Bottom