Huyu mtu yupo pale kutumika kisiasa. Amewekwa na wanasiasa na kwa nguvu zao sioni iwapo ataacha madaraka yake.
Nikisikiliza jinsi anavyojibu kijeuri, sipati shaka kabisa kuwa Simba kwa sasa inaanguka anguko kubwa sana. Huenda kuna siri hatuijui lakini wanasimba tuanze kujifunza kuishi kama mashabiki wa Ihefu.
Hakuna matumaini kwa sasa hawa jamaa wakiwapo madarakani. Wanachama wenyewe wapiga kura wa Simba ndio hao wanaume wa Dar. Asilimia kubwa machawa na hawajitambui. Mimi sina matumaini kuwa Simba itatulia tukiwa na hawa viongozi.
Engineer amesema atatunyoosha! Na tutanyooshwa sana. Maana hata mwekezaji ni tatizo jingine.
Nikisikiliza jinsi anavyojibu kijeuri, sipati shaka kabisa kuwa Simba kwa sasa inaanguka anguko kubwa sana. Huenda kuna siri hatuijui lakini wanasimba tuanze kujifunza kuishi kama mashabiki wa Ihefu.
Hakuna matumaini kwa sasa hawa jamaa wakiwapo madarakani. Wanachama wenyewe wapiga kura wa Simba ndio hao wanaume wa Dar. Asilimia kubwa machawa na hawajitambui. Mimi sina matumaini kuwa Simba itatulia tukiwa na hawa viongozi.
Engineer amesema atatunyoosha! Na tutanyooshwa sana. Maana hata mwekezaji ni tatizo jingine.