Kumpa HOUSE GIRL makufuli afuwe ni UNYAMA......


Tena wanawaagiza toka nyumban mikoan,watu wanasema mtoto we2 yuko Dar,kumbe anateswa!
 
kama ni hivo beta aache kuvaa tu,si vizuri. akae afikirie ingekua ni yy anafua za mtu mzima mwenzie angejisikia vipi?

Tafsiri yake ni dharau,wengine hata chakula msaidiz anatengwa,hakai seburen na familia!
 

Haloo,huyo kamwe hatarudia,nimecheka sana aise!
 

Nakupa saluti mdada,umetoa somo zuri sana!
 
Ndio hapo!Tena anatakiwa athaminiwe sana,kwa kuwa ndie analinda uhai wao wote!

tena sana,maana usalama wa wote umweka rehani kwake. haya unamwacha na wanao una uhakika gani hatawa mistreat? aisee pipo tubadilike jamani tuwafanye hawa wadada part ya familia zetu. am telling you utayafurahia maisha na hatakumbuka hata kwao..
 
tena sana,maana usalama wa wote umweka rehani kwake. haya unamwacha na wanao una uhakika gani hatawa mistreat? aisee pipo tubadilike jamani tuwafanye hawa wadada part ya familia zetu. am telling you utayafurahia maisha na hatakumbuka hata kwao..

Tena kuna baadh ya family zinawaendeleza kwa maisha yao ya baadae,binadamu tuthaminiane!
 
Aaaaaakhhhh!! kumbe kapewa kufua vikabati. ningemuonea huruma kama angepewa kufua
mablanketi na mazuria ya nyumba nzima.
 
Aaaaaakhhhh!! kumbe kapewa kufua vikabati. ningemuonea huruma kama angepewa kufua
mablanketi na mazuria ya nyumba nzima.

Kwa hiyo unaona haki inatendeka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…