Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 2, 2022 #181 Inapendeza ila kwenye hiyo million20 anambulia million5 zote zinenda kutunisha mfuko wa WCB...
H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 15,351 Reaction score 21,362 Jan 2, 2022 #182 Smart911 said: Inapendeza ila kwenye hiyo million20 anambulia million5 zote zinenda kutunisha mfuko wa WCB... Click to expand... We umejuaje umeona mkataba wake?
Smart911 said: Inapendeza ila kwenye hiyo million20 anambulia million5 zote zinenda kutunisha mfuko wa WCB... Click to expand... We umejuaje umeona mkataba wake?
gwijimimi JF-Expert Member Joined Sep 24, 2011 Posts 7,344 Reaction score 3,610 Jan 3, 2022 #183 kelphin kepph said: Watu wanamuhangaikia .......wanapata shida,kesho ajitoe mseme wasafi wanyonyaji,watawanyonya Hadi kamasii Click to expand... Hujui unachoongea ww
kelphin kepph said: Watu wanamuhangaikia .......wanapata shida,kesho ajitoe mseme wasafi wanyonyaji,watawanyonya Hadi kamasii Click to expand... Hujui unachoongea ww
kelphin JF-Expert Member Joined Dec 24, 2019 Posts 9,872 Reaction score 16,319 Jan 3, 2022 #184 gwijimimi said: Hujui unachoongea ww Click to expand... Unajua wewe mkuu
P Peppapig JF-Expert Member Joined Oct 29, 2020 Posts 967 Reaction score 1,485 Jan 3, 2022 #185 Kazi ipo kwa wapenda show Kwa sie ambao hatuna habare na zuchu haya hayatuhusu kabisa!
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 18,046 Reaction score 38,598 Jun 7, 2023 #186 Mwenye ako na connection anione inbobo
adriz JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 12,207 Reaction score 26,521 Jun 7, 2023 #187 Mr Q said: Mwenye ako na connection anione inbobo Click to expand... Kipi kimejiri ?