Kumpata Zuchu kwaajili ya Show ni Tsh Million ishirini kwa show moja! Je show zake zina thamani hii?

Kikao cha familia ya babutale kuhusu kuwania ubunge,kiliishia wapi?

Vipi kuhusu kesi ya TCRA na Wasafi inaendeleaje?

Manake unaleta habari nusu nusu.

Sasa hivi umehamia kwa Zuchu.
 
Najua unajua nachukia parties/sherehe

Hizo shows naziconsider kama parties...hata kwa bure siendi
hatimae nimepata mtu mwenye mtazamo sawa kuhusu haya mambo, mm hata ndugu aoleee uwani kwangu siendi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sherehe nayohudhuria n msiba tu
 
Dah nimeusikia leo jioni.anyws kila mtu anapenda taste Yake...! Mie hajanibariki kbs ..nadhan Kwasababu napenda kudance

Ukisikia janamke lenye roho ya korosho kwa wanawake wenzake, ndio wewe sasa!

Its obvious Zuchu ana umri mdogo kuliko wewe, amekupiga gape karibu kila kitu... Fame! Life insurance! Money (ongoing event).

Acha roho ya kinafiki wewe mama maskini. Ukiona unachukia maendeleo ya mwenzako wewe ni masikini kuliko yeye.
 
hatimae nimepata mtu mwenye mtazamo sawa kuhusu haya mambo, mm hata ndugu aoleee uwani kwangu siendi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sherehe nayohudhuria n msiba tu

Dalili za umasikini. Mnafariniana!
 
sio kuimba tu, akapata hadi nafasi ya kushika mkuu mkono kakalia, upepo uliokapitia kasipo toboa hakatoboi Tena, wakuu wote wa nchi wanakakubali, yule mkubwa kabisa anakaita chuchu
Hhhaahaaa kwamba chuchu?? Dah🤸🙌
 
 
vipi mzee.. umepata chakula kweli? unavamiaje mtu usiemjua hivyo?
 
hatimae nimepata mtu mwenye mtazamo sawa kuhusu haya mambo, mm hata ndugu aoleee uwani kwangu siendi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

sherehe nayohudhuria n msiba tu


Hahahahh mkuu hata matukio ya ndugu huendi kabisa?mie kuna baadhi ya matukio ya watu wa karibu lazima niende hata kama sipendi.....usipoenda unawaambiaje?

Kwenda kwenye misiba ni jambo la msingi nafikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…