Wewe umejitungia hakuna kitu Kama hicho. Mimi nimezaliwa nikajikuta mkatoliki jamii inanilazimisha niwe na dini. Ila kadri ninavyojitambua Kuna mambo nayaacha taratibu, hata wazo la kwenda church halipo. Ingawa Kuna siku nasali namuomba Mungu!
Kama yupo au hayupo atajua yeye😀