Kumpenda nampenda ila mimi ni aina ya mtu nisiyependa kuongea kwa simu

Hana story au story zake zinakuboa.
Yaani hebu nijaribu mimi uone kama hatutakuwa tunaongea na simu hadi voda wanaamua kukata wenyewe
 
Mwanaume ukishafikia stage ya kusema Kumuacha Hapana basi kwisha habari yako.Narudia hakuna Mapenz over the phone,ni swala la muda tu [emoji1]
Otherwise ni mke mpo naye mbali kikazi..ila vinginevyo kwanza ni ghali mnoo kudate na mtu akiwa mbali,,kuanzia nauli n.k
 
🤔🤔Fimbo yambali hauwi nyoka! Sijui wahenga waliwaza nn😶
 
Long distance relationship tushasema ni entertainment hizo,hakuna kitu kinaitwa long distance r.ship,achana nae fanya mambo yako tu

Kama hajakuelewa na hapa basi soon tutazika huyu jamaa [emoji28]
 
Maongezi yangu marefu kuwahi kuongea ilikuwa 60-70 minutes......
Yalobakia ni mafupi kama shoo ya kuku
 
Mtafika tu..kikubwa mwanamke anatakiwa aelewe situation yako au wewe ubadilike kwa ajili yake.
 
Hana story au story zake zinakuboa.
Yaani hebu nijaribu mimi uone kama hatutakuwa tunaongea na simu hadi voda wanaamua kukata wenyewe
zinakuwepo but na uchovu unakuta unachangia ticha si unajua huu mji na pirika zake.
 
Yani kazi tunayo mkuu,kesi kila siku haziishi ,ukiwaambia hakuna mapenz kweny long distance wnakua wakali,yakiwakuta wanakuja kulia nyau humu,sasa mimi nimemwambia achana nae uyo,kasema HAPANA [emoji1][emoji23]
....anajifanya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterez, acha yamkute.
 
Mkuu, tuko wote! Siwezi kabisa zungumza na simu kwa muda wa zaidi ya sekunde 30, sijui kumbebisha mtu kwa simu aisee!
 
Badilika just for her... Halafu kwa LDR mawasiliano ni muhimu na msingi sana otherwise............!
 
Badilika just for her... Halafu kwa LDR mawasiliano ni muhimu na msingi sana otherwise............!
Ndo kilichonikuta LDR jau unamuona mtu anajisnap tu boda wake alafu anakwambia umsaidie kitu flani nikamuulize yule unaejisnap nae hana mnasaada?

Ndo ugomvi ukaanza na mahusiano kufa
 
Ndo kilichonikuta LDR jau unamuona mtu anajisnap tu boda wake alafu anakwambia umsaidie kitu flani nikamuulize yule unaejisnap nae hana mnasaada?

Ndo ugomvi ukaanza na mahusiano kufa
Pole sana mkuu LDR ni changamoto sana!
 
Usikate tamaa. Kama unampenda basi mueleze hilo jambo la kutoweza kupokea simu wakati wa kazi atakuelewa tu.

pili muambie kwamba kama anakuwa bored atafute kitu cha kuchangamsha akili badala ya kuwa kwenye simu masaa ishirini na nne.

Mutafika tu muwe wavumilivu na murekebishane kwa upendo pale mnapoona mmoja wenu amekosea kufanya jambo fulani katika mahusiano yenu.

Ninakuambia hivyi kwa sababu nilidhawahi kuwa kwenye LDR mwaka jana haikuwa rahisi sana ila nilijifunza mengi sana. sema mahusiano yetu yalikuwa kwa muda wa miezi minne tu tuliachana kwa sababu za kijinga tu.
I hope alipata mwenza mzuri wa maisha.

So follow your heart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…