Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,326
Pitia kwanza The unplug AlphaNmekikosa mkuu icho Rational huna soft copy unipe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia kwanza The unplug AlphaNmekikosa mkuu icho Rational huna soft copy unipe
Otherwise ni mke mpo naye mbali kikazi..ila vinginevyo kwanza ni ghali mnoo kudate na mtu akiwa mbali,,kuanzia nauli n.kMwanaume ukishafikia stage ya kusema Kumuacha Hapana basi kwisha habari yako.Narudia hakuna Mapenz over the phone,ni swala la muda tu [emoji1]
🤔🤔Fimbo yambali hauwi nyoka! Sijui wahenga waliwaza nn😶Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".
Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂
Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.
Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿
Long distance relationship tushasema ni entertainment hizo,hakuna kitu kinaitwa long distance r.ship,achana nae fanya mambo yako tu
Shauri yake,sie tushamwambia cha kufanya [emoji23]Kama hajakuelewa na hapa basi soon tutazika huyu jamaa [emoji28]
Maongezi yangu marefu kuwahi kuongea ilikuwa 60-70 minutes......Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".
Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa simu muda mrefu la si hivyo zitayumba. Sasa na anakupigia unakuta cha maana cha kuongea hana, ukimdodosa ni kwamba labda anapenda tu kusikia sauti yako.😂
Ukirudi usiku umechoka unataka uoge upumzike, ukipiga simu ni muongee zaidi ya dakika 40+, wengine mnawezaje? Nahofia kuja kumkwaza.
Hili swala hata ndugu zangu walishanizoea, mimi huwa nikipiga simu nina jambo la msingi la kuzungumza. Napendelea zaidi text kuliko kupiga simu. OMG sijui ni huu usukuma wangu. Sasa na haya mahusiano ya mbalimbali tutafika kweli?🚶🏿
Kama hutaki kumwacha jitahid umpe attention hasa long distance relationship mwanamke ni kama mtoto anapenda vitu vidogo..kumwacha hapana.
....anajifanya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterez, acha yamkute.Yani kazi tunayo mkuu,kesi kila siku haziishi ,ukiwaambia hakuna mapenz kweny long distance wnakua wakali,yakiwakuta wanakuja kulia nyau humu,sasa mimi nimemwambia achana nae uyo,kasema HAPANA [emoji1][emoji23]
Ndo kilichonikuta LDR jau unamuona mtu anajisnap tu boda wake alafu anakwambia umsaidie kitu flani nikamuulize yule unaejisnap nae hana mnasaada?Badilika just for her... Halafu kwa LDR mawasiliano ni muhimu na msingi sana otherwise............!
Pole sana mkuu LDR ni changamoto sana!Ndo kilichonikuta LDR jau unamuona mtu anajisnap tu boda wake alafu anakwambia umsaidie kitu flani nikamuulize yule unaejisnap nae hana mnasaada?
Ndo ugomvi ukaanza na mahusiano kufa
[emoji23][emoji23] sie tumekaa pale tunamuangalia....anajifanya katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterez, acha yamkute.
Shauri yake,sie tushamwambia cha kufanya [emoji23]