Kumpigia kura P.O.Sakho, CAF Goal of the Year ni kujipotezea muda tu. Wengine kuamua mshindi

Kumpigia kura P.O.Sakho, CAF Goal of the Year ni kujipotezea muda tu. Wengine kuamua mshindi

Sikuwahi kufikiria kukunenea mabaya kwaua huu ni utani wa jadi, ila kutokana na utoto na uongo unaondekeza humu jukwaani kila leo, inabidi nikwambie kitu.

"Kuliko kuzaliwa wewe, ni bora lingezaliwa kreti la bia watu wakanywa wakafirahi"

Huo utaratibu wa kuhebu kura umeutoa wapi?
70%.JPG
 
Ahsante mkuu kwa taarifa....

Hivi hakuna hata mchezaji wa yanga aliyeoneka onekana kwenye kipengele chochote huko CAF..!?? Hata cha kutetema basi...

Au CAF wanampendelea Mnyama...!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kiungo bora, tumpigie Fei na bangala.
 
1. Kamati ya Ufindi ya CAF
2. Waandishi wa Habari/michezo watambulikao CAF
3. Makocha wakuu wa timu shiriki msimu 2021/22
4. Makaptein wa timu shiriki msimu 2021/22
5. Klabu zilizo shiriki makundi msimu 2021/22
hapo Yanga inapatikana kwenye kundi gani? 😂😂😂
 
Ahsante mkuu kwa taarifa....

Hivi hakuna hata mchezaji wa yanga aliyeoneka onekana kwenye kipengele chochote huko CAF..!?? Hata cha kutetema basi...

Au CAF wanampendelea Mnyama...!?
Yupo feisal goli alilowafunga simba azam sports federation maana ndio furaha yao.
 
Acha tuwapigie Mayele na Feisal yao yalikuwa mazuri sana ila tu ni mapenzi ya caf kwa simba sc
Screenshot_20220719-212011_Chrome.jpg
 
Nimeona Watanzania wakichangamka kumpigia kura mchezaji wa Simba SC kwenye moja ya tuzo katika kipengele cha Goli bora la mwaka.

Kiukweli hilo jambo la kuacha watu wapigie kura mshindi limewekwa kimkakati na kibiashara tu.

Uhalisia ni kwamba hawawezi acha majority wasio kuwa na ufahamu wa mpira wapige kura maana CAF wana fahamu kabisa kuna “mambumbumbu” pia yana shabikia mpira hivyo si rahisi kupata mshindi mwenye kustahili.

Aidha, Caf wanafahamu kuwa baadhi ya wachezaji wanatoka kwenye mataifa yenye uwiano mdogo wa population hivyo wale wenye kutoka kwenye mataifa yenye population kubwa watanufaika zaidi hata kama hawastahili.

Ndio maana hata TFF imechagua kamati maalumu kubaini washindi katika tuzo za TFF zilizo tamatika.

Ifuatayo ni orodha ya wapiga kura katika kila kipengere ambacho kitaamua mshindi:-

1. Kamati ya Ufindi ya CAF
2. Waandishi wa Habari/michezo watambulikao CAF
3. Makocha wakuu wa timu shiriki msimu 2021/22
4. Makaptein wa timu shiriki msimu 2021/22
5. Klabu zilizo shiriki makundi msimu 2021/22



Endapo kura zitagongana/kufanana ndipo kura za mashabiki zitatumika.

Ikumbukwe: Tangu CAF ianzishwe mwaka 1957. Hakuna msimu wa tuzo kukatokea kufanana kwa idadi ya kura.
.
FB_IMG_1611660294488.jpg
 
Ukimtoa Mzee Kikwete na Baba yake kaboka manara mashabiki wote wa Yanga waliobaki hawana akili nukuu ya maneno ya manara
 
Nimeona Watanzania wakichangamka kumpigia kura mchezaji wa Simba SC kwenye moja ya tuzo katika kipengele cha Goli bora la mwaka.

Kiukweli hilo jambo la kuacha watu wapigie kura mshindi limewekwa kimkakati na kibiashara tu.

Uhalisia ni kwamba hawawezi acha majority wasio kuwa na ufahamu wa mpira wapige kura maana CAF wana fahamu kabisa kuna “mambumbumbu” pia yana shabikia mpira hivyo si rahisi kupata mshindi mwenye kustahili.

Aidha, Caf wanafahamu kuwa baadhi ya wachezaji wanatoka kwenye mataifa yenye uwiano mdogo wa population hivyo wale wenye kutoka kwenye mataifa yenye population kubwa watanufaika zaidi hata kama hawastahili.

Ndio maana hata TFF imechagua kamati maalumu kubaini washindi katika tuzo za TFF zilizo tamatika.

Ifuatayo ni orodha ya wapiga kura katika kila kipengere ambacho kitaamua mshindi:-

1. Kamati ya Ufindi ya CAF
2. Waandishi wa Habari/michezo watambulikao CAF
3. Makocha wakuu wa timu shiriki msimu 2021/22
4. Makaptein wa timu shiriki msimu 2021/22
5. Klabu zilizo shiriki makundi msimu 2021/22



Endapo kura zitagongana/kufanana ndipo kura za mashabiki zitatumika.

Ikumbukwe: Tangu CAF ianzishwe mwaka 1957. Hakuna msimu wa tuzo kukatokea kufanana kwa idadi ya kura.
Nani anaichukia timu yake,nani anaichukia nchi yake,nani anamchukia mchezaji wake.
Sakho anapigiwa kura na watu wengi sana si watanzania tu hata Raia wa nchi yake,hata mataifa mengine yanampigia kura si wanasimba tu sasa post yako imekaa,kiwivu sana hizi ni dalili za kuwa mchawi.
 
Back
Top Bottom