Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?
Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.
Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).
Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!
I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
Fuata ushauri wa mmoja wa wanajamvi ambao ndio kinga yangu ninayoitumia ktk love life/relationships. Huu ushauri umenisaidia sana na ninapeta tu sasa hivi kwani when it comes to love...I have a bullet proof heart. Namnukuu:
"mapenzi sio ya kuyaendekeza sana yatakugeuza chizi...just relax and enjoy life,when u met a snitch just quit early
'MIMI NINA MSEMO WANGU AMBAO SIKUZOTE UNATEMBEA KICHWANI...KWAMBA SIKUZALIWA NA MTU NA WALA HAKUNA ALIYEUMBWA KWA AJILI YANGU"
Nina imani huo ujumbe hapo juu utakusaidia.
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?
Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.
Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).
Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!
I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
Hii ni ngumu, i can only advise you to pray whenever you feel angry n hurt. Ask God to help you forgive..that is the first step towards healing. Usipomsamehe hutaweza kusahau....ukishakuwa umemsamehe, i mean ikifikia wakati unaweza kumkumbuka au kumuwaza bila kusikia hasira na uchungu, its time for you kumtafuta na kumuomba uonane naye muongee akwambie what really happened so that you can learn form it. Then move on with your life.
Pole sana mydia.
Kwa faida ya wengi walio/wanao/watakao/pitia hali kama hii, tungeomba mtumie lugha ya kiswahili...tunathamini michango yenu...Tafadhali..mtutafsirie na sisi wengine,
pole sana mpendwa,Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?
Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.
Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).
Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!
I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
Hivi ikitokea umempoteza mtu unayempenda unaikabili vipi hii hali?
Yani hata sijui nisemeje, nimechoka kwa mawazo hadi akili kumfikiria sana huyu mtu.
Roho inaniuma na ninakumbuka sana vitu vingi tulivyofanya tukiwa wote. Nahisi nilimpenda sana na kumpa kipaumbele zaidi kuhakikisha tuna penzi imara na lenye muelekeo japokuwa changamoto za hapa na pale hazikukosekana.
Lakini sijui kwa nini amenifanyia hivi? Na hii ndiyo inayonichanganya zaidi akili kwa sababu sipati jibu..Kifupi, ni kuwa ameoa (naomba nisielezee zaidi).
Ooh!..kweli nahitaji ushauri wenu juu ya kuendelea na maisha yangu bila kumkumbuka huyu mtu..japokuwa ukweli ni kuwa siwezi kumsahau 100%!!
I'm so confused, stressed & deeply hurt!!..
...Hasira na chuki vimenizingira sana juu ya hili. Najua nikimsamehe itanipa ahueni hata kama sitosahau!
Aliwasiliana na mimi kutaka kuelezea lakini sikumpa hiyo nafasi, niliona kama hakufanya ubinadamu mana angeweza hata kunitafuta kabla hajaoa kuniambia 'its over'. kweli amenikatili!
Honey Iam so very sorry and I feel you... Hakuna maneno tutakwambia roho ikaacha kuuma but I really hope uzingatie ushauri unaotolewa maana mwingi ni mzuri.
Sometimes for us to get people we deserve, we have to get people we dont deserve. Na pleease usijilaumu sana kwa kutaka kujilaumu wewe na kufikiri kuna upungufu ulio nao ndo maana kakuacha. Hakuna mwanadamu asiyekua na mapungufu, the best lovers and partners are those ambao anaweza ishi nawewe regardless ya hayo mapungufu. I believe you are a great lady in one way or another, just learn hard from the experience but dont let it put you down (You dont belong there - no woman does)
Pole dada BJ haya ndio maisha wewe ukipanga nae Mungu anakupangia, jitahidi kukubali hali hiyo na zidi kumuomba Mungu nae atakupa Mume mwema.
Pole BJ...
Unapotwa na matatizo ya kimahusiano, unazidi kuumia unapodhani labda wewe ndo tatizo la yeye kukuacha....
Hebu kubali tu kwamba hamkupaswa kuwa pamoja zaidi ya hapo mlipofika....and remember wewe sio tatizo....