pole sana,haya mambo yametukuta wengi.hasa kama huyo mtu ulimuamini na kumpenda kwa asilimia zote.ila kwa sasa utajisikia unaumwa ugonjwa unaoumwa haujulikani,unajikuta una hasira zisizokuwa na sababu,na mawazo mpaka unajihisi kama kuchanganyikiwa,na maswali yasiyokuwa na majibu.trust me itachukuwa muda,ila baadae utakaa sawa tu,na ipo siku utapata mtu atakaekupenda wewe,na baada vya miaka kadhaa utajiuliza hivi yule mtu alieniumiza kipindi kile upande mwengine niliepuka mengi.maana nina furaha kwa huyu nilie nae.