M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Kiongozi, Sina shaka hata kidogo Lucinde asingekuwa bungeni angekuwa kibaka. Na kuna tofauti kubwa sana kati ya kauli za wana siasa na kauli za vibaka. Kauli alizotoa Arumeru, zinamfunua kabisa ukondoo wake, na kama Mtera waliamini wamemchagua mheshimiwa sasa wakae wakijua wapata kibaka. Hawana mbunge.
wapi william malecela? william, hama CCM haraka son, and you know what? the jimbo will be yours to lose!