Kumshitaki Mbunge Lusinde kwa matusi aliyomwaga Arumeru

Mjinga kabisa huyu Lusinde, Kwa nini anadhalilisha waheshimiwa waliopigiwa kura kama yeye? Hana adabu kabisa na amekosea jamii. Na Wale watoto wadogo anawafundisha nini? Avuliwe ubunge
 
Hiyo kesi itakuwa kituko tunaanza na Lema, alete ushahidi wake kuthibitisha mahakamani Siyoi ni shoga.
be a man mkuu tuletee ushahidi wa maneno ya lema kama tulioletewa hapa ama sivyo utakuwa ni upumbavu wako tuu, wakuzusha na kawaida yenu kumzushia Lema!!
 
Kama ndo kauli zenu za kisiasa, no wonder ndo maana nchi ipo hapa!!!!

hivi kuna mtu amemsikia akiongea bungeni? mnakumbuka alivoomba wabunge wapimwe akili? pia alivotaka wabunge watwangane bungeni

hii ni moja ya post ya mtu tarehe 08 feb 2011

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia kioja katika ufunguzi wa bunge , leo jioni pale mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde maarufu kama Bajaji aliyeangusha Katapila (malecela),
Kasema mambo ya kushangaza yafuatayo:-
1.Baadhi ya wanasiasa wanapotosha umma kwa kusema kwamba Polisi na Serikali wanapiga wananchi mabomu.. ( hapa alikuwa akimaanisha CHADEMA na tukio la Arusha)… akasema kwamba yale sio mabomu bali bi gesi lakini wanasiasa wanapotosha umma kwa makusudi, mabomu ni yale yaliyolipuka pale Mbagala na sio yanayotumiwa na polisi
2. Kampongeza Edward Lowassa kwa kujihudhuru kutoka na uzembe uliofanywa na watendaji wa chini yake katika suala la Dowans na akazidi kusema kuna watu wengine ni wagumu kujihudhuru hata kaika timu zao zinapofanya vibaya na mambo mengine mengine
3.Suala la JK kua mvumilivu kutokana na mambo yanayoendelea , anafikiwa hatua ya kuandikwa vibaya katika vyombo vya habari na kwenye mitandao… akaongeza Hivi najiuliza huyu raisi Kikwete ujeshi wake mbona hauoneshi mbona amekua mpole kiasi hiki na angekua mtu mwingine asingeweza kuvumilia…
Aliongea mengi ambayo hayana maana mbele ya watanzani wanaopigika na maisha ikiwemo gharama za Umeme kua juu, mgao wa umeme, mfumuko wa bei za bidhaa, wanafunzi wa vyuo kikuu kuandamana na kupigana na mapolisi n.k
Note: huyu jamaa nimemuona ni mkurupukaji na anayejipendekeza kwa wakuu wake akitegemea fadhila ya vyeo na madaraka serikalini na CCM, sio mpambanaji wa kweli bali ni mropokaji anayeongea kufurahisha wabunge wenzake wa CCM na anavyoonekena ni mtu anaye danganyika kirahisi, na sio mwakilishi wa kweli pale mjengoni…
Wana JF naomba mmfuatilie vizuri huyu jamaa kila wakati anapoongea halafu baada ya kikao cha bunge kuisha mtaniambia
 
jamani tuwe makini sisi watanzania. Kwa maoni yangu nilitegemea mwenyekiti wake wa cccm angeshamwita na kumwajibisha. kama hajafanya hivyo mpaka sasa hivi ni tatizo lake na la chama chake. labda tu kwa taarifa yako hamna haja ya kumfungulia kesi. jamii yake inatakiwa imhukumu anavyostahili -kuanzia kwenye chama hadi kwenye ukoo. amejidhalilisha mwenyewe na chama chake na inabidi aombe msamaha kwetu sisi watanzania kwa kuanzia na arumeru. ni aibu ya ajabu ambayo haijawahi kutokea kwa lusinde. hatakuwa tena mweshimiwa kwangu mimi.
 
Angalia salary slip yako, anganilia PAYE asilimia kubwa inatumika kuwalipa watu kama LUSINDE. Ni aibu kwa jimbo kuongozwa na mhuni kama huyu.

Wewe umeongea kwenye 'salary slips' kwa wale waliobahatika ni kila kukicha makato makubwa lakini hatuoni pesa zinakwenda wapi. TRA kila mara wanasema wamevuka malengo ya kukusanya kodi, na katika kodi ilipangwa bajeti pia ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu na kwa sasa wengi hawajapata na waliopata wanapewa kidogokidogo na kuishi kwa taabu wakati pesa ilipatikana!!! Kwa nini wasitueleze tu kuwa bajeti tulitegemea kupata pesa nje sasa imegoma? Ajabu kwelikweli ya ...h a s i r a ndo maana siwezi kuendelea!!!
 
OMG! Hii imeenda beyond na haiweza kulinganiShwa nayoyote ile, imevuka mipaka hii ilitakiwa iwe rated PG 21, lakini yeye hakujali.
 
Hapo ndiyo patamu imeandikwa wapi ukitoga sikio moja ni shoga? basi kubali tafsiri ya Lusinde nadhani umenipata.
Haijaandikwa mahali lakini kwa mila na destuti na mapokeo inasomeka hivo unles yawe matundu ya kimila yale makubwa kama ya wamasai
 
sio mwigulu wala nape wanafunuliwa kwa nyuma kisa kuwa mabitch na wehu wa madaraka
 
LAKINI
Lusinde anasema kuwa anajibu mapigo,ikimaanisha kuwa kuna mtu alianza tatizo tu hatujapata video ya huyo aliyeanza

sijafurahia alichokisema ktk video hiyo lakini nadhani ndizo kampeni zinazoendela huko arumeru kwa vyma vyote sio CDM wala CCM

Kwa great thinker hayo sio maneno ya kuweka hapa jukwaani, vitu vya kusadikika sio mahala pake, lete facts kama huyo aliyeleta video ya lusinde na sio kudhani au ikimaanisha. Wewe unadhani vitu ambavyo unadhani wewe na mimi nitavidhania?????? au umetumwa? weka video ya hivyo vyama vingine vilivyotoa matusi kama huyo mjinga hapo juu. Kwa hiyo akisema anajibu mapigo na wewe unaamini?? kwa nini hakusema ni mapigo yapi???? hebu kuwa unaonda pande zote za shilingi sio kuongea tu
 
Ningekuwa JK mara moja namfukuza uanachama huyu bwana. Hawezi kuongea upuuzi kama huo na chama kikaendelea kumwangalia na kumfurahia. Kusema Ukweli baada ya kuona hiyo video nimechanachana kadi ya CCM na kesho nachukua gamba rasmi. Mheshimiwa mbunge anaongea vitu kama hivyo kweli???????????? uheshimiwa uko wapi????? Shame upon him na kama wewe lusinde unasoma hapa jua kuwa huna tena thamani na heshima kwa wale walioiona hii kampeni yako na hata kama walikushangalia kasikilize vizuri jinsi walivyokuwa wanakushangalia kisha utabaini wanakupongeza au wanakukejeli kukuona punguani (umepungukiwa akili) au mwehu fulani.
Eti wewe ni mtunga sheria wa Tanzania??? Ila sitashangaa kwani ndio matokeo ya rais kusaini muswada na kuurudisha bungeni kabla hata haujatumika, wewe ndo sababu.
Kwa kuonesha uungwana waombe watanzania na CHADEMA radhi la sivyo maneno yako yatakuhukukmu very soon, utaona tu, na namwomba Mungu anipe uhai nishuhudie hiyo siku na nitaipost hapa.
 
Hawa wana siasa wa kileo bwana, kazi ipo.
 
Wana JF Kama kweli aliyoyasema Lusinde ni kweli, Naomba wan CDM wampleke mahakamani maana kusema Mh Lema alipata bwana mahabusu alijuaje anaushahidi. Please Lema mpeleke court huyu Lusinde akulipe amekufadhaisha sana. I believe 2015 huyu hatarudi tena maana hata wana CCM wenyewe nilikuwa naongea na mzee mmoja wana CCM anasema hafai kuwa kiongozi kabisa. CDM sidhani kama walitukana mtu bali wanatoa tuhuma za ufisadi kitu ambacho wana ushahidi. Kweli CCM ijitafakari.

Nafikiri CCM wajaribu kuabdilika kama kweli wanataka changamoto. Wajaribu kuwa free kwa sababu huyo sioi kapewa kadi ya CCM siku chache tu na hana uweze wa uongozi, mwisho wajaribu kuwaachia vijana. Sula la kutumia pesa kila kupitisha mgombea ndio itaiwezesha CDM ishike madaraka maana mnapitisha mtu ambaye hakubali na hajui mazingira ya kule anakogombea ni hatari kwa CCM.
 
Haina haja ya kumsikiliza huyu mpuuzi maana kashasema yeye ni kichaa wa kuzaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…