Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
be a man mkuu tuletee ushahidi wa maneno ya lema kama tulioletewa hapa ama sivyo utakuwa ni upumbavu wako tuu, wakuzusha na kawaida yenu kumzushia Lema!!Hiyo kesi itakuwa kituko tunaanza na Lema, alete ushahidi wake kuthibitisha mahakamani Siyoi ni shoga.
Kama ndo kauli zenu za kisiasa, no wonder ndo maana nchi ipo hapa!!!!
Angalia salary slip yako, anganilia PAYE asilimia kubwa inatumika kuwalipa watu kama LUSINDE. Ni aibu kwa jimbo kuongozwa na mhuni kama huyu.
Haijaandikwa mahali lakini kwa mila na destuti na mapokeo inasomeka hivo unles yawe matundu ya kimila yale makubwa kama ya wamasaiHapo ndiyo patamu imeandikwa wapi ukitoga sikio moja ni shoga? basi kubali tafsiri ya Lusinde nadhani umenipata.
LAKINI
Lusinde anasema kuwa anajibu mapigo,ikimaanisha kuwa kuna mtu alianza tatizo tu hatujapata video ya huyo aliyeanza
sijafurahia alichokisema ktk video hiyo lakini nadhani ndizo kampeni zinazoendela huko arumeru kwa vyma vyote sio CDM wala CCM