Kumshitaki mhitimu

wewe inaonesha huwajui wabongo we...usishangae kaandikaje kiingereza, wabongo ni mafundi wa kiingereza cha kuandika vibaya mno...mi nimesoma na watu hawajui kuongea sentensi mbili mbele za watu ila wanaandika ung'enge masaa matatu kwenye pepa bila kuinua kichwaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Si bora angemuuliza ulifanyafanyaje wewe? Au basi angesema kazi ameshindwa ndo tungejua kweli kuna tatizo. Halalamikii kushindwa kazi.
 
Maelezo yako ni mazuri mkuu. Nahitaji nikuambie kwamba ni rafiki yangu sana. Na kazi anayofanya Sina maslahi nayo. Na nikikuonesha meseji ambazo nilikuwa nachat nae kuhusu kumshitaki, utashangaa. Anacheka na anasema, kanishtaki bwana Mimi nilishamaliza.! Tuelewe kwamba Hili ni jukwaa la kupeana maarifa. Jambo linapokuja, si Kwa sababu ya husda. Soma, tafuta mantiki ndani yake na Kisha toa elimu ulio nayo. Wengi wanarukia TU hoja na kutapika nyingi. Huenda Hili ni janga Kwa wachangiaji piaπŸ˜‚. Tusome tufaulu vizuri. Tusomeshe watoto wafaulu vizuri na si Kwa ujanja ujanja!
 
Si bora angemuuliza ulifanyafanyaje wewe? Au basi angesema kazi ameshindwa ndo tungejua kweli kuna tatizo. Halalamikii kushindwa kazi.
Wewe bila shaka ni wale wa "ze train Baki come"! Jenga hoja,!
 
Tafuta mume wa kukuoa itakusaidia kuondoa hizi chuki ulizo nazo. Achana na mambo yasiyokuhusu. Kuna mwenzako mmoja kiherehere alikuwa anahoji elimu ya mtu hadi leo kapotea hajulikani alipo. Unachokitafuta utakipata.
 
Kwaiyo wewe waona nisawa kuwa na watu wa aina hiyo na chuo cha ina hiyo kama jamaa anavyolalamika kwenye taifa linalohitaji maendeleo??

Wewe kama msomi??
 
Una roho mbaya kuliko shetani.
 
Jikite kwenye hoja. Kama huna, nyamaza.
Kukunyamazia ndo mbolea ya kukuza ujinga na upumbavu. Acha uchawi. Nina imani unaemchongea anakujua vizuri. Kwa hili,bora uangukie kwenye anga zake dadeki. Yaani ahangaikie maisha umletee ufara!? Hoja ni kutounga mkono funza ulizonazo kichwani! We nenda kijijini ujipange. Yaani unajiunga vifurushi kwa ajili ya ujinga!
 
Tafuta mume wa kukuoa itakusaidia kuondoa hizi chuki ulizo nazo. Achana na mambo yasiyokuhusu. Kuna mwenzako mmoja kiherehere alikuwa anahoji elimu ya mtu hadi leo kapotea hajulikani alipo. Unachokitafuta utakipata.
Na nitawafyeka vilaza nyie. Yaani nikipata msaada wa kisheria, mtakoma.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tanzania ina matahira wengi haijawahi tokea, yaani mwehu kaamka anawaza mtoto wa watu aliepambana kupata diploma yake πŸ€”πŸ€”
Huwezi kupambana na upate ufaulu mbovu. Somesheni watoto wafaulu!
 
Wewe bila shaka ni wale wa "ze train Baki come"! Jenga hoja,!
Hoja gani? Ikuume lakini kubali ujue hufai katika jamii. Ukute simu unayotumia hapa umemkaba mtu na kumnyang'anya. Umetafuta msaada wa sheria kujishtaki?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tungekuwa tunatembea na vyeti kifuani basi ni Wachache wangetushika mikono Kwa salami bosi.
 
Hoja gani? Ikuume lakini kubali ujue hufai katika jamii. Ukute simu unayotumia hapa umemkaba mtu na kumnyang'anya. Umetafuta msaada wa sheria kujishtaki?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Pambana mkuu. Nakuombea. Hapa ugumu wako wa maisha ndio unaongea. Si akili zako hizi.
 
tumejaa chuki sasa inatutafuna wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…