Kumshitaki mhitimu



Ukiwa na tabia hii utakufa maskini, na utaleta laana kwenye ukoo wako, achana na maisha ya watu.
 
Ukiwa na tabia hii utakufa maskini, na utaleta laana kwenye ukoo wako, achana na maisha ya watu.
Nikupe taarifa kwamba Mimi sio maskini. Tafuta utabiri mwingine wa namna nitakavyokufa. Jinga kabisa😂
 
Mkuu,kwa hili upo sahihi. Tatizo tu ni kauli uliyotumia ya mumshtaki. Wala si kwamba naunga mkono kufoji. Ni kwamba tu baada ya kuona mtu kaenda ndivyo sivyo,nahisi ana sababu zake. Kuna kumkanya,kumuelekeza au kumkosoa,ikishindikana ndo njia nyingine zinafata
 
Niambie! Na ukiona mtu kalianika hapa,si kwamba amekulupuka,na haiwezi ikawa mara ya kwanza. Hawa wa hivi ni wale akimuona mke wa furani na kitenge kipya, anauza mtaa mzima kwamba ameona kilipoibiwa. Ini shoti,hawana kazi ya kufanya
 
Kama unajua kushtaki sana ebu mshitaki mbunge wako kwa kutokutimiza ahadi zake alizozisema kwenye kampeni
 
Niambie! Na ukiona mtu kalianika hapa,si kwamba amekulupuka,na haiwezi ikawa mara ya kwanza. Hawa wa hivi ni wale akimuona mke wa furani na kitenge kipya, anauza mtaa mzima kwamba ameona kilipoibiwa. Ini shoti,hawana kazi ya kufanya
Yaani unajua, nikisoma comments zako na huyu ndugu yako, nawaona Hadi mnavyofanana. Wapuuzi kabisa.! Mambo ya kanga yamefikaje hapa? Hao graduates umeshasaidia wangapi ndugu huko mtaani kwako uswahilini? Hebu tujenge Hoja.
 
Yaani unajua, nikisoma comments zako na huyu ndugu yako, nawaona Hadi mnavyofanana. Wapuuzi kabisa.! Mambo ya kanga yamefikaje hapa? Hao graduates umeshasaidia wangapi ndugu huko mtaani kwako uswahilini? Hebu tujenge Hoja.
Bro mi nimewasaidia direct na indirect wengi na naendelea kwa kidogo nlichojaliwa hua naumia sana graduate akidhalilika kwa kuonekana hana akili za kujiongeza kisa hana fursa, wengine nimewaunganisha sehemu wenye ukwamo wa kifedha kama ninayo natoa. Sasa wewe rafiki yangu unawaza kushtaki muhitimu? Kweli? Toa unaomba msaada kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…