Akatokea mtoto akawashangaa watu wanasema Mfalme amevaa nguo nzuri, wakati Mfalme yuko uchi wa mnyama.
Badala ya kumshukuru mtoto kuwa kaacha unafiki na kusema ukweli wa kumsitiri mfalme, wanampiga mawe kuwa kamuaibisha Mfalme.
Tatizo: TUMEZOEA KUMWONA RAIS KAMA MUNGU, AKITOKEA MTU AKASEMA RAIS SIYO MUNGU NI MTUMISHI WETU, AMEKOSEA AKINA KITENGE AND Co. LTD WANASEMA AMEMTUKANA RAIS.
Badala ya kumshukuru mtoto kuwa kaacha unafiki na kusema ukweli wa kumsitiri mfalme, wanampiga mawe kuwa kamuaibisha Mfalme.
Tatizo: TUMEZOEA KUMWONA RAIS KAMA MUNGU, AKITOKEA MTU AKASEMA RAIS SIYO MUNGU NI MTUMISHI WETU, AMEKOSEA AKINA KITENGE AND Co. LTD WANASEMA AMEMTUKANA RAIS.