Kumtaka Tedros ajiuzulu ni hila za kuizima sauti ya Afrika WHO

Kumtaka Tedros ajiuzulu ni hila za kuizima sauti ya Afrika WHO

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Azimio la Rais Donard Trump la kumtaka Tedros ajiuzulu limechukua sura mpya ambapo chama cha Republican kinataka kuweka mazingira ya kumtaka Tedros ajiuzulu kwa sababu ya kushindwa kudhibiti HIV na sasa COVID-19.

Sababu hizi zinaweza kutumika kama silaha kuu ya kuhakikisha Kiongozi mwingine atakayeendana na matakwa ya wakubwa anaingia WHO.

Nyuma ya Tedros kuna sauti ya Africa na umoja sauti ambayo haiwapendezi wakuu.

Nawaza taratibu tu.
 
Ivi wewe kweli una macho au huoni kila kitu unaleta siasa aya kabla hujatushawishi na sisi tuamini kuwa ni kweli Trump anataka kumuonea Tedros em orodhesha achievement za bwana Tedros since alivyotake power orodhesha achievement zake zote alafu na mimi nitakuorodheshea failure zake.

alafu tukae chini tuone wapi ame perform zaidi kwenye either kwenye mafanikio au kwenye mambo aliyofeli vibaya sana. Waafrika tuache ujinga wa aina hii kiukweli tutachelewa sana kwenda mbele kama ikiwa kila pale Muafriaca anapokoselewa basi nyie hufikiria kuwa ni hila tu pasipo kuangalia kama yanayosemwa ni kweli au la!!
 
CORONA siyo ugonjwa tishio kuliko Ebola ila ni Uzembe wa WHO na Wachina ndio umesabababisha uwe Pandemic.

Afukuzwe tu, hawezi kusimamisha duniani kwa kiwango hiki kwa kushirikiana na wachina.

Tena Napendekeza achuoguzwe maana yawezekana wachina wamempa rushwa.
 
Ivi wewe kweli una macho au huoni kila kitu unaleta siasa aya kabla hujatushawishi na sisi tuamini kuwa ni kweli Trump anataka kumuonea Tedros em orodhesha achievement za bwana Tedros since alivyotake power orodhesha achievement zake zote alafu na mimi nitakuorodheshea failure zake.

alafu tukae chini tuone wapi ame perform zaidi kwenye either kwenye mafanikio au kwenye mambo aliyofeli vibaya sana. Waafrika tuache ujinga wa aina hii kiukweli tutachelewa sana kwenda mbele kama ikiwa kila pale Muafriaca anapokoselewa basi nyie hufikiria kuwa ni hila tu pasipo kuangalia kama yanayosemwa ni kweli au la!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuzi WHO haina daktari wala Mwanajeshi wala haina kizalisha pesa. Hao wabwekaji Trump na wenzake ndiyo waliojaa WHO na ndiyo watunga sera. Unawaza kitoto asks na ukumbuke kuwa sera za WHO zimetungwa na huyo huyo USA leo zinamuumiza anabwatuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upuuzi WHO haina daktari wala Mwanajeshi wala haina kizalisha pesa. Hao wabwekaji Trump na wenzake ndiyo waliojaa WHO na ndiyo watunga sera. Unawaza kitoto asks na ukumbuke kuwa sera za WHO zimetungwa na huyo huyo USA leo zinamuumiza anabwatuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza unajua maana ya WHO kama utakua unajua maana yake basi hutorufia kuandika hoja za kitoto namna hii tafakari!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni propaganda za kichina tedros ni incompetent kaharibu sana. Corona haikutakiwa kuwa pandemic never uzembe wa hali ya juu.
Luna mawili tedros aiza analipwa ma wachina au ni kiongozi uchwara asiyejua atendalo .

Corona ingetokea Africa ingeishia hukuhuku wangeitangaza rasmi siku hio hio iliuogunduliwa ila sababu ni China kijamaa na wahuni wenzake vimechelewa sana kuchukua hatua kwa uoga.

Simpendi trump lakini kwahili naunga mkono.tedros ajiuzulu kwa manufaa ya WHO na dunia asishupaze shingo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msijiingize kichwa kichwa kwenye minyukano ya china na marekani, kama ugonjwa unaambukiza kwa njia ya hewa na watu wanasafari kila muda dunia nzima unawezaje kusema hauwezi kuwa pandemic....yaani JF imejaa viazi kweli..
 
Kuna siku tutaurejelea huu uzi ili kuunganisha dots.
 
Yeah kuna ukweli ndani yake. Kuna ka mchezo Afrika inataka ichezewe.
 
A
Msijiingize kichwa kichwa kwenye minyukano ya china na marekani, kama ugonjwa unaambukiza kwa njia ya hewa na watu wanasafari kila muda dunia nzima unawezaje kusema hauwezi kuwa pandemic....yaani JF imejaa viazi kweli..
Ni yupi amekataa COVID-19 siyo pandemic.Kuwa na utulivu wa akili anapotaka kufikisha hoja yako.Hoja hubomolewa na hoja na siyo viroja.
Akili yako inakuonesha wenzako ni viazi sikatai kwa sababu ndivyo unavyoona wewe ila siyo kila mtu anamuona mwenzake kiazi.
Huenda hili linaweza likawa ni tatizo binafsi any way.......
 
Back
Top Bottom