Kumtambulisha Hamissa Mobeto mbele ya Makamu wa Rais ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa kwa Haji Manara

Kumtambulisha Hamissa Mobeto mbele ya Makamu wa Rais ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa kwa Haji Manara

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
 
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
Haji aliweka hicho kipengele kumkata maini Ally Kamwe Mobeto alikuwa demu wake
 
Pale ni siku ya furaha mkuu ,siyo siku ya maprotokali...Lengo la manara ni kuamsha VIBE tu....Kama ulivyoona wakati azizi anatambulishwa Manara alilitajka jina la Mobeto Makamu akawa anacheka tu ....Sijaona kosa la Manara....Wanegekuwa wanazindua kisima cha maji halafu manara akamtambulisha Mobeto hapo ingekuwa chaka.
 
Pale ni siku ya furaha mkuu ,siyo siku ya maprotokali...Lengo la manara ni kuamsha VIBE tu....Kama ulivyoona wakati azizi anatambulishwa Manara alilitajka jina la Mobeto Makamu akawa anacheka tu ....Sijaona kosa la Manara....Wanegekuwa wanazindua kisima cha maji halafu manara akamtambulisha Mobeto hapo ingekuwa chaka.
Una akili sana
Yaani Rais akiingia disco ndo watu wasiruke mapiano eti Kuna Rais.
Ile ni starehe tu
 
Pale ni siku ya furaha mkuu ,siyo siku ya maprotokali...Lengo la manara ni kuamsha VIBE tu....Kama ulivyoona wakati azizi anatambulishwa Manara alilitajka jina la Mobeto Makamu akawa anacheka tu ....Sijaona kosa la Manara....Wanegekuwa wanazindua kisima cha maji halafu manara akamtambulisha Mobeto hapo ingekuwa chaka.
Mleta mada ni mshamba anaonyesha chuki yake wazi dhidi ya manara ..ulivoeleza uko sahihi kabisa ni wajinga tuh wataona ni makosa maana hata angeongea kingine mleta mada angetafuta alipokosea tena
 
Yaani umeianzishia uzi Yanga. Kuna watu walienda kwa Madiba wakawasha moto uwanjani kuwatisha na bado walitolewa mashindanoni.

Shida ya kumtambulisha Hamisa iko wapi? Kuna jambo lilikiukwa pale? Je unaelewa nini kililengwa kwenye utambulisho ule wa jana?
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
 
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.

Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
Mnataka tuongee mtubatize timu za kushabikia. Tuambie dhambi ya mtanzania yeyote kutambulishwa mbele ya makamu wa Rais.
 
Back
Top Bottom