Kumtambulisha Hamissa Mobeto mbele ya Makamu wa Rais ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa kwa Haji Manara

Kumtambulisha Hamissa Mobeto mbele ya Makamu wa Rais ni upuuzi wa kiwango cha kimataifa kwa Haji Manara

Pale ni siku ya furaha mkuu ,siyo siku ya maprotokali...Lengo la manara ni kuamsha VIBE tu....Kama ulivyoona wakati azizi anatambulishwa Manara alilitajka jina la Mobeto Makamu akawa anacheka tu ....Sijaona kosa la Manara....Wanegekuwa wanazindua kisima cha maji halafu manara akamtambulisha Mobeto hapo ingekuwa chaka.
Hata shughuli ya kuvunja kikoba huwa kuna ratiba na protoko. Hata harusi na birthday zina ratiba na protoko sembuse shughuli inayokusanya watu 60k? Haya maujinga hata nyinyi hamyafurahii ila hamtaki kuonyesha kuchemka.
Igeni Simba fans, ujinga wanaita ujinga na wanasimamia hivyo kwa kufikisha ujumbe kwa viongozi
 
Hata shughuli ya kuvunja kikoba huwa kuna ratiba na protoko. Hata harusi na birthday zina ratiba na protoko sembuse shughuli inayokusanya watu 60k? Haya maujinga hata nyinyi hamyafurahii ila hamtaki kuonyesha kuchemka.
Igeni Simba fans, ujinga wanaita ujinga na wanasimamia hivyo kwa kufikisha ujumbe kwa viongozi
Simba hawana furaha, hawana kombe,
Wapo tu na majonzi kwanza waluchelewa kumaliza
 
Makamu wa Rais Dakta Phillip Mpango alijiskia aibu sana na kusikitika sana, second command wa nchi mnamletea dharau na uhuni mbele yake..
 
Wajinga kweli.
Wajinga ni nyie hapo mashabiki jana mnachekelea na kutoa meno nje kama makobelo nyani ngiri huku mnaacha Dakta Phhlip Isidori Mpango Makamu wa Rais anaaibishwa hadharani kabisa kwa vitendo vya kutia aibu kabisa, hata marehemu Manji kiprotokali hamkumpa heshima aliyostahili...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Kwenye mechi ndio kabisaaa,, hadi mmesaidiwa kushinda na refa wa hovyo anayechezesha mapinduzi wa zanzibar, mnawaacha akina Arajiga mnaenda kuchukua takataka
 
Hata shughuli ya kuvunja kikoba huwa kuna ratiba na protoko. Hata harusi na birthday zina ratiba na protoko sembuse shughuli inayokusanya watu 60k? Haya maujinga hata nyinyi hamyafurahii ila hamtaki kuonyesha kuchemka.
Igeni Simba fans, ujinga wanaita ujinga na wanasimamia hivyo kwa kufikisha ujumbe kwa viongozi
Kwahiyo mlitaka GSM amtambulishe dada yake? Ile ilikuwa Planned pia ,kwanini isiwe Zaylissa? Pale watu wanazingatia maokoto ya club ,au haujaona kama biashara pale ilifanyika kwa hamisa kuvalishwa JEZI ya yanga tena na Azizi Ki? Hauni itaboost mauzo?
 
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
Amphibia
FB_IMG_1722859207627.jpg
 
Wajinga ni nyie hapo mashabiki jana mnachekelea na kutoa meno nje kama makobelo nyani ngiri huku mnaacha Dakta Phhlip Isidori Mpango Makamu wa Rais anaaibishwa hadharani kabisa kwa vitendo vya kutia aibu kabisa, hata marehemu Manji kiprotokali hamkumpa heshima aliyostahili...[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Kwenye mechi ndio kabisaaa,, hadi mmesaidiwa kushinda na refa wa hovyo anayechezesha mapinduzi wa zanzibar, mnawaacha akina Arajiga mnaenda kuchukua takataka
Aiseeeee, yamekuwa hayo tena.
 
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
Kwani makamu wa Rais ni nani? Acha kuabudu watu!
 
Kiukweli nimesikitika sana, yaani siku ya Mwananchi imegeuka kuwa siku ya watu kutangaza ndoa? Eti Hamisa mnafunga ndoa lini? Why between my interview unakuwa mpumbavu kiasi hiki?

Hamissa Mobetto ni nani hadi atambulishwe siku hiyo ya Mwananchi, maskini mmempiga chini Ally Kamwe hajaonekana mwanzo wa tukio wala mwisho wakati yeye ndio amehaso kule Mbagala kuhamasisha watu wanunue tiketi, kijana wa watu anapambana kuifanya Yanga iwe juu zaidi halafu mswahili mmoja tu ambaye amefukuzwa SImba anakula raha kwa kufanya promo kwenye Wasafi Media utadhani redio hiyo inasikika nchi nzima, halafu unawaletea watu Mobetto.

GSM mnakaa pale mnafanya show ya maana ndio kumleta Mobetto na kuvalishwa fulana na domo la ndege, hii maana yake ni nini sasa.

Halafu mmedhihirisha kuwa bila ushirikina wachezaji wenu ni wa kawaida tu, hivi kweli muifunge Kaizer Chief bao 4 halafu mhangaike kuifunga Red Arrows hadi mchezaji atolewe nje kwa red card, kweli kama sio timu yetu kutegemea majini ni nini.
Watu wenye akili tulipoona mpira umeingiliwa na siasa za kipumbavu tukajiondoa
 
Kwa kweli kama mimi YangaDam sijakipenda kile kitendi.Ule sio weledi kabisa,ukemewe na wananchi wastaarabu wote
 
Ungefahamu aklili za wabongo zinavyopenda mambo ya kijinga kijinga hata usingeshangaa, wanawapa mnachopenda..
 
Back
Top Bottom