incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Habari wakuu,
Tangu awali nilishasea huu uzungu na haya maisha ya watoto wa kishua sijui wanampango gani na vizazi vyetu,
Siku moja kuna star mmoja na mchekeshaji maarufu alifiwa na mama yake mzazi sasa jamaa alishinda akipost video alivyokuwa anaishi na mama yake mara wabusiane mara wakumbatiane mara walishane yaani hadi nilikuwa nikitazama zile video binafsi moyo unalipuka kwa kweli kwa hili mimi nitabaki kuwa mshamba kama ushamba wenyewe ndio huo basi nipo tayari kuvishwa taji la ushamba.
Mimi binafsi nimekuwa katika mazingira ya kijijini sikuwahi kuona mtu mzima kijana akimpakata mama yake au akimkumbatia mama yake na kumbusu huu ni ujinga na kukosa heshima. Hawa watoto wa mboga saba sikui akili zao huwa ziko wapi, wao wanaamini kumpenda mzazi wako ni kumbeba kumbusu na kumkumbatia kumwambia nakupenda mama kweli?
Mimi binafsi kidume wa mkoani nililelewa na single mother alinisomesha kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu, Na hadi sasa mama yangu anajua ni kiasi gani namjali sipendi niskie hata akiwa na maumivu kidogo nipo tayari kufanya lolote ili mama yangu abaki kuwa salama, nikipata hata 100 nataman nitakachokula na yeye ale hichohicho. Namjali mama kuliko kitu chochote kile hapa duniani. viapumbele vyangu katika maisha ni mama yangu kwanza kisha wanafuata wanangu na anafuatia mke wangu, maana pasipo kuwa yy nisingekuwepo mimi hao watoto nisingepata wala mke.
Ila kwa upendo wote huo sijawahi kumtamkia mama NAKUPENDA, wala kumkukumbatia and never ever haitakaa itokee neno NAKUPENDA huwa likinijia kichwani Huwa nachukua NOTE ya elfu 10 au 20 nampa namwambia mama hii katoe sadaka kanisani, maana ninajua mama yangu addiction yake ni kanisa tu hana mambo mengine,
Cha ajabu hawa watoto waliokulia mboga saba wanawakumbatia mama zao na kuwakiss eti ndio upendo, SHUBAMIT siwezi kufanya huo ukafili mama ni mama lazima mipaka iwepo.
Tangu awali nilishasea huu uzungu na haya maisha ya watoto wa kishua sijui wanampango gani na vizazi vyetu,
Siku moja kuna star mmoja na mchekeshaji maarufu alifiwa na mama yake mzazi sasa jamaa alishinda akipost video alivyokuwa anaishi na mama yake mara wabusiane mara wakumbatiane mara walishane yaani hadi nilikuwa nikitazama zile video binafsi moyo unalipuka kwa kweli kwa hili mimi nitabaki kuwa mshamba kama ushamba wenyewe ndio huo basi nipo tayari kuvishwa taji la ushamba.
Mimi binafsi nimekuwa katika mazingira ya kijijini sikuwahi kuona mtu mzima kijana akimpakata mama yake au akimkumbatia mama yake na kumbusu huu ni ujinga na kukosa heshima. Hawa watoto wa mboga saba sikui akili zao huwa ziko wapi, wao wanaamini kumpenda mzazi wako ni kumbeba kumbusu na kumkumbatia kumwambia nakupenda mama kweli?
Mimi binafsi kidume wa mkoani nililelewa na single mother alinisomesha kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu, Na hadi sasa mama yangu anajua ni kiasi gani namjali sipendi niskie hata akiwa na maumivu kidogo nipo tayari kufanya lolote ili mama yangu abaki kuwa salama, nikipata hata 100 nataman nitakachokula na yeye ale hichohicho. Namjali mama kuliko kitu chochote kile hapa duniani. viapumbele vyangu katika maisha ni mama yangu kwanza kisha wanafuata wanangu na anafuatia mke wangu, maana pasipo kuwa yy nisingekuwepo mimi hao watoto nisingepata wala mke.
Ila kwa upendo wote huo sijawahi kumtamkia mama NAKUPENDA, wala kumkukumbatia and never ever haitakaa itokee neno NAKUPENDA huwa likinijia kichwani Huwa nachukua NOTE ya elfu 10 au 20 nampa namwambia mama hii katoe sadaka kanisani, maana ninajua mama yangu addiction yake ni kanisa tu hana mambo mengine,
Cha ajabu hawa watoto waliokulia mboga saba wanawakumbatia mama zao na kuwakiss eti ndio upendo, SHUBAMIT siwezi kufanya huo ukafili mama ni mama lazima mipaka iwepo.