Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jiandae na wewe kusukumwa uangukie kichogo ufe
hahahahahahahaJiandae na wewe kusukumwa uangukie kichogo ufe
Huyo atakuwa ni Lulu tu. Lipia mimba tu utakiona cha moto.Wakuu kuna mdada mzuri sana amefungwa na anatarajia kuachiwa baada ya muda fulani (sio mfupi), nauliza kuwa naweza kumtolea mahari muda huu ili akitoka tu nimwoe? Ni mzuri sana na ni star.[emoji7] [emoji7] [emoji7]
Huyo atakuwa ni Lulu tu. Lipia mimba tu utakiona cha moto.Wakuu kuna mdada mzuri sana amefungwa na anatarajia kuachiwa baada ya muda fulani (sio mfupi), nauliza kuwa naweza kumtolea mahari muda huu ili akitoka tu nimwoe? Ni mzuri sana na ni star.[emoji7] [emoji7] [emoji7]
Huyo atakuwa ni Lulu tu. Lipia mimba tu utakiona cha moto.Wakuu kuna mdada mzuri sana amefungwa na anatarajia kuachiwa baada ya muda fulani (sio mfupi), nauliza kuwa naweza kumtolea mahari muda huu ili akitoka tu nimwoe? Ni mzuri sana na ni star.[emoji7] [emoji7] [emoji7]
KipiHuyo atakuwa ni Lulu tu. Lipia mimba tu utakiona cha moto.
Sawa mkuuToa mahari, muda si mrefu atatolewa kwa msamaha wa Bashite
duh nimecheka mpaka machozi lolMbaya zaid mwenzako kanumb alikua anafahamika dunia nzima wewe hata balozi wa nyumb kumi hakufaham ukiangukia kichoko utazikwa na imamu au kama ni padri atatuma katekista au nabii Titto
HahahaJiandae na wewe kusukumwa uangukie kichogo ufe