Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
- Thread starter
-
- #21
Record tuliyoiweka haihitaji faraja ya aina yoyote, kama we kweli kidume ivunje ndio uje tuzungumze kiume vinginevyo jadilianeni jinsi ya kumkana gadiel na wanawake wenzako huko clabun.Mnajifariji baada ya ihefu kuvunja mwiko 49 huko nyuma daima
Unbeaten 49 kwa wachezaji wako wale walevi a.k.a wala ngada kina mkudee wataisikia tu kwenye vyombo vya habariMganga wao aliwaambia siku wakibadilisha tu wanapotea na kweli ikatokea
Kwa uchawi huo Caf champions league mtaisikia tu mnaabudu ulozi kuliko uhalisiaUnbeaten 49 kwa wachezaji wako wale walevi a.k.a wala ngada kina mkudee wataisikia tu kwenye vyombo vya habari
..Kwa uchawi huo Caf champions league mtaisikia tu mnaabudu ulozi kuliko uhalisia
Walijifukiza Ubani mashtaka 🤣🤣🤣Wakajifukiza ubani makha na chumvi ya mawe au walijifukiza Ngada?! 😂
[emoji38][emoji38][emoji38]Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.
Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?
Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.
Duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe mambo ni siriazi
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jiulize hayo ni ile misheni kufeli ndo jamaa kaonekane...Nimecheka
Makolo wana mambo Hawa[emoji2][emoji119][emoji23][emoji119]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wachawi sana hawa jamaaJiulize hayo ni ile misheni kufeli ndo jamaa kaonekane...
Sasa njoo na ule msemo "kwa mkapa hatoki mtu" aaah unapata jibu kumbeee
Mtani hapo kwenye tambiko hatarishi tumewashindwa..!! Ila wanasimba wachawi jamaniii..!! Mnaroga ndani na nje ya nchi yaani..!!!Kalogeni na jezi yenu ya njano ikiki...
Weka na picha ya George Mpole..!! Maana nyie hamuwezi mnabaki kushangilia viatu na ushindi wa wengine
Hawa watu NGADA walianza nayo zamani..!! Wameitumia NGADA hata kwenye kuroga.
Kwa nchi yetu hili asaivi limekua ni tatizo kubwa mara utasikia kuna timu imetozwa sijui milioni moja kisa wamepitia mlango ambao siyo sahihi kuingia uwanjani,yaani nichangamoto kubwa sanaMpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.
Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?
Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.