Kumtuma mchezaji akaroge ni aibu

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwa nchi yetu hili asaivi limekua ni tatizo kubwa mara utasikia kuna timu imetozwa sijui milioni moja kisa wamepitia mlango ambao siyo sahihi kuingia uwanjani,yaani nichangamoto kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…