Kumtuma mchezaji akaroge ni aibu

Kumtuma mchezaji akaroge ni aibu

Kwa uchawi huo Caf champions league mtaisikia tu mnaabudu ulozi kuliko uhalisia
..
20221202_190917.jpg
 
Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.

Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?

Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.

Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?

Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.
Kwa nchi yetu hili asaivi limekua ni tatizo kubwa mara utasikia kuna timu imetozwa sijui milioni moja kisa wamepitia mlango ambao siyo sahihi kuingia uwanjani,yaani nichangamoto kubwa sana
 
Back
Top Bottom