Umefungwa na ihefu[emoji3][emoji3][emoji3]Mpira unakosewa heshima sana siku hizi, hii aibu kwa nchi yetu haiwezi kuvumilika tena, mamlaka zinapaswa kutoa onyo zaidi ya hili la kumfungia mtu mechi 3.
Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?
Walivyofanya ulozi kule Bondeni na kutia aibu nchi tulinyamaza, ila hili la kumtembeza mchezaji bila nguo mchana aisee, big no.
Hili nitarudi nalo Saa 4 na Robo au Saa 4 na Nusu Niki Log In tena hapa JamiiForums kwani Limenikera na Simba SC wamenikera nalo. Usikose huo muda Mkuu sawa?Mtani hapo kwenye tambiko hatarishi tumewashindwa..!! Ila wanasimba wachawi jamaniii..!! Mnaroga ndani na nje ya nchi yaani..!!!
Kalpana na GENTAMYCINE ipo siku na nyie mtatumwa mkaroge. Mwenzenu Mshana Jr amefuzu
Nimewahi kuwepo kwenye logistics za timu moja hapa Bongo,wafanyakazi wa viwanja si waaminifu huwa wanahongeka na kufungua mageti ili timu A ikaroge, au wao ndiyo wanatoa taarifa kwa timu nyingine hapo msipite walikuja kumwaga dawa πKwa nchi yetu hili asaivi limekua ni tatizo kubwa mara utasikia kuna timu imetozwa sijui milioni moja kisa wamepitia mlango ambao siyo sahihi kuingia uwanjani,yaani nichangamoto kubwa sana
Sawa kolo, a.k.a mwana Ihefu, a.k.a shabiki wa George Mpole, mwana timu ya wachawi, mwana timu ya ngada kama KalpanaHili nitarudi nalo Saa 4 na Robo au Saa 4 na Nusu Niki Log In tena hapa JamiiForums kwani Limenikera na Simba SC wamenikera nalo. Usikose huo muda Mkuu sawa?
Na kuna mtu alifungwa na AZAM, Dube ni hatariUmefungwa na ihefu[emoji3][emoji3][emoji3]
Unbeaten inamalizwa na kibonde wa ligi[emoji3][emoji3][emoji3] na makeki yenuNa kuna mtu alifungwa na AZAM, Dude ni hatari
Kwanini wasimtumie hata Babra kwenda kuwanga mchana ule jamani, hivi kweli mchezaji anashiriki hii tena jua kali?
Sawa, tuna unbeaten kama ya ArsenalUnbeaten inamalizwa na kibonde wa ligi[emoji3][emoji3][emoji3] na makeki yenu
Tunashukuru sana kwq ihefu kuvunja mwiko wa 49 huko nyuma hatuna mengine zaidi ya hayoRecord tuliyoiweka haihitaji faraja ya aina yoyote, kama we kweli kidume ivunje ndio uje tuzungumze kiume vinginevyo jadilianeni jinsi ya kumkana gadiel na wanawake wenzako huko clabun.
Unbeaten ya 49 hawajavunja..!!! Wamefanikiwa ya 50Tunashukuru sana kwq ihefu kuvunja mwiko wa 49 huko nyuma hatuna mengine zaidi ya hayo
Achana na hilo koloUnbeaten ya 49 hawajavunja..!!! Wamefanikiwa ya 50
Tehtehteh tunasubiri tamko lenu wachawiHili nitarudi nalo Saa 4 na Robo au Saa 4 na Nusu Niki Log In tena hapa JamiiForums kwani Limenikera na Simba SC wamenikera nalo. Usikose huo muda Mkuu sawa?
Wamemdhalilisha sana mwana Tanga mwenzangu mbwa hawa,mwanaume mchana kweupe kaonyesha qalioAisee kwahiyo jamaa alikua uchi akisota kwa makalio [emoji2]
ππππ Hapo kwenye MBWA ungeandika UMBWA....!! Hii inafaa kwa wachawi wa ndani na nje ya nchiWamemdhalilisha sana mwana Tanga mwenzangu mbwa hawa,mwanaume mchana kweupe kaonyesha qalio
Lete timu yako sasa uone kama hujawatukana wakina kibuUnbeaten inamalizwa na kibonde wa ligi[emoji3][emoji3][emoji3] na makeki yenu
Wangekavulisha nguo kale kademu ka mkude babraa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo kwenye MBWA ungeandika UMBWA....!! Hii inafaa kwa wachawi wa ndani na nje ya nchi
Tutake radhi mkuuMtani hapo kwenye tambiko hatarishi tumewashindwa..!! Ila wanasimba wachawi jamaniii..!! Mnaroga ndani na nje ya nchi yaani..!!!
Kalpana na GENTAMYCINE ipo siku na nyie mtatumwa mkaroge. Mwenzenu Mshana Jr amefuzu