Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Wangemtext mkewe angekuja na bunduki?
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

Yetu macho na masikio

...........[emoji102][emoji102][emoji102][emoji102][emoji102]
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.


Salute sana mkuu! Job done and done well.Nimejihisi kuongezea lakini mimi nitaongezea siku za usoni.Let all stones be overturned thoroughly in the first place.
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Ulitaka washuke wadunguliwe mgongoni au ndivyo mlivyofikiri watafanya, ndio maana mleta mada anasema mliopanga ni zero brain.
 
Zero kabisa tena sifuri, yaiii!
Hivi sasa anatumia vyeti feki..m
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

Hapo kwenye zero ya 4m four kuna jiwe limetupwa gizani.Nimekuelewa mkuu...
 
Ni kweli unachosema..tena kweli tupu..katika darasa la assassination kuna mambo yafuatayo:
Kama mtu unaemtaka kumuelinate kwanza unaangalia kama anajua maisha yaake yako hatarini..kama hajui kama anafatiliwa na hana ulinzi zoezi zima la kumuondoa linaitwa "safe process"..
Kama anajua kuwa anafatiliwa lakinj hana ulinzi zoezi zima linaitwa "chase process".
Kama anajua anafatiliwa lakini anawalinzi zoezi la kumuondoa linaitwa "guaded"
..sasa lissu alikuwa anajua kuwa anafatiliwa maana alishasema..sasa ukiangalia kwa hawa jamaa waliacha factors nyingi sana nje..ni kama viile waliljwa wamechoka kumfatilia lakini pia kama ulivyosema aliyeratibu jambo hili aliuwa na.matatizo ya akili...na hawa nadhan walikuwa na plan moja tu ya kumuua lissu akishuka kwenye gari..walipoona anaendelea kukaa ndani ya gari wakaamua kumimina risas ovyo...kwa kweli dereva wa lissu angekuwa na silaha angewamaliza kiulaini..
Namtakia tundu lissu afya njema na apone..kwa kifupi mbeba maono huwa hafi...
 
mmmmh.!!! kama movie vile ila kumbe ni kweri.....aisee watu wanaroho ngumu,
 
Sasa chukueni hiyo zero brain, connect dot na ile "karumekenge" ya Dar iliyomteka Roma na kuahidi kiziro ziro tena kuwa wahusika waliotekwa watapatikana kabla ya J2 na kweli ikawa hivyo.

Siku baada ya tukio inaonekana Morogoro Asubuhi na mapema ikifanya jogging. Leo mseme haina hata nasaba ya tukio husika. Nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo movie.
WTF.
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

Naomba radhi Mkuu ila kwa maelezo yako haya yaliyojaa ufundi na mbinu za hali ya juu kabisa za Kimedani nashawishika kusema kwamba yawezekana Wewe ndiyo uliyetutesea Tundu Lissu wetu hadi sasa yupo Jijini Nairobi nchini Kenya akiokoa maisha yake.

Naona sasa zile ' albadiri ' zinaanza kufanya Kazi na mnajitokeza wenyewe kutusimulia kile mlichokifanya pale Dodoma.
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Mpiga risasi kaja kupima upepo humu
 
Back
Top Bottom