Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'


Kudharauliwa na Mpumbavu ni baraka
 
Naona kama vile unawashauri ili siku nyingine wasikosee!!! Ni kama vile unasikitika kwa kosa walilofanya...la kumkosa!!!!

Pole, ndio mambo ya Mungu.
Endelea kuwashauri maana na wewe ni walewale. Hara hivo, kwani zero brain humjui? Hakuna siku amefanya tukio Mungu asimuumbue
 
Cc: Mungu wa darisalamu
 
Mungu ndo muweza wa yote.Ni ajabu risasi 38 kushindwa kummaliza mtu.Lissu analindwa na Mungu
 
What if the mission was to intimidate and instill fear in him and not assassination plot?
 
Tunavyokuja na.theories mbali mbali kuhusu tukio la watu wasiojulikana tunawapaint as if ni watu 'fulani' wa system kumbe inawezekana tu ikawa ni heist gone wrong
 
Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
Hahahah, mkuu hata kwenye movie ya Nicholas Cage ya Con Air yule dogo aliyekua amekaa kibwegebwege kumbe ndiye alikua mafia hatari ndege nzima
 
Si jambo zuri kudadavua jinsi mauaji yalivyoshindwa wakati huu.Labda kama unafundisha wauaji kuua.Ubinadamu haupo kabisa.Ni utovu wa nidhamu kusimulia jaribio la mauaji kushindwa kwa mtu mwenye hadhi ya juu kwa jamii yake.Stori haimjali Lissu.
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Kosa kubwa sana alilofanya Lissu na CDM nikutokumuarm driver, dogo anaonekana yuko fit sana anakosa vifaa tu, pale angekuwa na mashine angewachukua vizuri sana wale washamba!
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Kosa kubwa sana alilofanya Lissu na CDM nikutokumuarm driver, dogo anaonekana yuko fit sana anakosa vifaa tu, pale angekuwa na mashine angewachukua vizuri sana wale washamba!
Angewachikua wangepata sababu, wangeshambulia kwa nguvu kubwa,wangehakikisha kama Lisu hayuko hai na yote wangemuangushia dereva ambaye angekuwa amekufa na hawezi kujitetea.
Kutokujibu was a smart move!
 
Multi dimensional thinker
Hayo ndiyo mambo ya kutafakari na siyo hisia,jazba,political mileage. Huyo driver ndiye HERO of the Day.
Tuombe mungu TL apone lakini huyu driver anastahili heshima kutokan na ujasiri wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…