Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Anasema aliwahi kunywa nao Rose garden,huyu dereva ndio wa kumng'ang'ania atatoa tu muelekeo badala yake tunamuacha tunasoma albadiri
Atatoa ushirikiano lakini je polisi watatoa ripoti stahki endapo watakutana na majibu ya Eagles kua sisi ndiyo tulihusika kwahiyo ipotezeeni na mnatakiwa kujua kua tunafanya ulinzi wa raia na mali zao kwakushirikiana.
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Daaa naona unaongea kwa mafumbo sana...ila wenye akili watakuelewa
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

I salute You Comrade. Well analysed.
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Unapiga simu kwa mke ili naye atoke nje ya nyumba akutane na Smg ale shaba au?
 
Bwege ni Wewe unaejifanya una uhakika 100% kuwa Dereva hahusiki,
Kama Mliwahi kutuaminisha humu kuwa Mlinzi wa Slaa alikuwa anatumika kwny Mipango ya kumdhuru Slaa wakati ule kwanini ukimbilie kumtetea Dereva kwa nguvu zote, Kama Mtoto anaweza kushiriki Mipango ya kumdhuru Baba yake kwanini ujipe uhakika wa 100% kuwa Dereva hahusiki?

Princess Diana alikufa katika ajali mbaya sana na Dereva akajeruhiwa lakin baada ya uchunguzi ikagundulika na Dereva alihusika na ile ajali kwny kuitengeneza
Wewe jamaa ni Kilaza wa kiwango cha Rami!
 
Msisahau kuwa maisha ya Mtu, pamoja na mauti ya Mtu, mwenye maamuzi ya mwisho ni MUNGU aliye juu. Mkono wa aishiye milele ndiyo uliomwokoa Antipas. May GOD bless and heal Antipas, amen, amen, amen.
 
..CCM walipaswa kutumia SUICIDE BOMBER.

..hapo ndiyo unakuwa na uhakika 90%, unless detonator failure.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na wabongo wanavyoogopa kufa hiyo lazima ingevuja[emoji38]
 
Kama walikaa dk 20 means walikuwa wakisubiri ashuke wamtungue
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Nimekudharau Sana Mkuu, text ingesaidia nini? Au kwa akili yako unafikiri ukiwa ktk mazingira ya hivyo akili inakua kawaida? Kuwekwa kwenye target ya kuuliwa sio sawa na kuwekwa katikati ya miguu ya mwanamke kwamba ukishakojoa unaweza kuanza kuplan umpigie nani.

Amtext ili iwaje? Ikiwa alitoa mpaka namba za gari mkauchuna, sembuse text.. Hebu acha ulemutuz bana.
 
Umeandika vizuri sana japo najua kwa uelewa ulionyesha 'wasiojulikana' wanakuona kama asiyestahili hata rank ya umesenja kwenye mikakati yao ovu. Kikubwa ni kwamba huo ndio mwisho wao wa kufikiri na kutenda!
 
Back
Top Bottom