Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

Tatizo hata wangeiplan ulivyoielezea,walijiulize je wana the same PLAN na aliyemuumba??Maana angekuja Malika kuwa tungua waliokuwa wanatarget kutungua kabla hawajatungua wakatunduliwa na mission ikafa wakatoka nduki.

First PLAN wangeplan na Mungu kama wanaohuo ubavu
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo

Unauhakika hawakupiga simu wala kutext meseji??Pole sana,mlilolitegemea halikuwa.

T-shirt za Pra4Lissu ni zaidi ya SMG
 
Unauhakika hawakupiga simu wala kutext meseji??Pole sana,mlilolitegemea halikuwa.

T-shirt za Pra4Lissu ni zaidi ya SMG

Tunajadili aliyozungumza Dereva sio yaliyokuwa kwenye Kichwa chako
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Oh yes paul,supervisor ana zero si mwingine ni bashite
 
Wewe mbona unaonekana kama bwege? Dakika 20 hawakufanya kitu? hiyo kupanga, kulaza viti, kuwatumia msg watu wengine kuwa kuna watu wanawafuatilia, ni kukaa kimya? Unachotakiwa pia kufahamu ni kuwa TL amekuwa anafuatiliwa mara nyingi lakini hakuna wakati aliporushiwa risasi. Sidhani kama ilikuwa rahisi kufikiria kuwa wangepigwa risasi pale, kwenye eneo la nyumba za viongozi na tena mchana. Kama wangelifikiria hilo nina imani wangefanya kitu.

Movie imekwisha
 
Tunajadili aliyozungumza Dereva sio yaliyokuwa kwenye Kichwa chako

Nimekuuliza swali hujajibu swali umekuwa mkali kama umemeza pilipili MBUZI.

Anyway pole sana ungejibu swali langu labda ingesaidi.

T-SHirt pray4Lissu ni mwiba kwa Serikali ya CCM,UVCCM na Policcm yake
 
Mada hii inaonyesha wabongo tulivyo wapenzi wa matukio. Najua wengi kweli tukio hili limewasikitisha lakini kwa ndani mnatamani kama lisipoe vile. Labda kwa kuogopa kuangaliwa vibaya tu lakini mngetamani matukio kama haya labda yasikauke ili tupate political wind into our sails. Siasa za matukio sio endelevu. Na ndio maana ni wachache tu walimuelewa Rais JK aliposema," Ni upepo tu utapita".
 
Wewe mbona unaonekana kama bwege? Dakika 20 hawakufanya kitu? hiyo kupanga, kulaza viti, kuwatumia msg watu wengine kuwa kuna watu wanawafuatilia, ni kukaa kimya? Unachotakiwa pia kufahamu ni kuwa TL amekuwa anafuatiliwa mara nyingi lakini hakuna wakati aliporushiwa risasi. Sidhani kama ilikuwa rahisi kufikiria kuwa wangepigwa risasi pale, kwenye eneo la nyumba za viongozi na tena mchana. Kama wangelifikiria hilo nina imani wangefanya kitu.
Bwege ni Wewe unaejifanya una uhakika 100% kuwa Dereva hahusiki,
Kama Mliwahi kutuaminisha humu kuwa Mlinzi wa Slaa alikuwa anatumika kwny Mipango ya kumdhuru Slaa wakati ule kwanini ukimbilie kumtetea Dereva kwa nguvu zote, Kama Mtoto anaweza kushiriki Mipango ya kumdhuru Baba yake kwanini ujipe uhakika wa 100% kuwa Dereva hahusiki?

Princess Diana alikufa katika ajali mbaya sana na Dereva akajeruhiwa lakin baada ya uchunguzi ikagundulika na Dereva alihusika na ile ajali kwny kuitengeneza
 
Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
"Comment" yako imenifanya nicheke asubuhi.
Nadhani niko na wewe, unaonaje na sisi tukaanza kujikita ili tuwe wataalamu na sisi. Huu "ubwege" unaweza kutuponza.
Nitafurahi kujua kama uko tayari.
 
Kiongozi wa watekaji na wauwaji ni Makonda aliepata zero, unategemea nini?, Mfano kitendo cha makonda kusema siku ya Roma kuonekana, inaonesha namna gani usalama unavyoendeshwa na Makonda
 
"Comment" yako imenifanya nicheke asubuhi.
Nadhani niko na wewe, unaonaje na sisi tukaanza kujikita ili tuwe wataalamu na sisi. Huu "ubwege" unaweza kutuponza.
Nitafurahi kujua kama uko tayari.
Hahaha! Niko tayari mkuu maana siku hizi hali si hali sasa sisi tusiokuwa na mbinu na mafunzo ya akina Van Damme tutamalizwa mara 1.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] zero toka la saba hiyo itakuwa
 
Back
Top Bottom