Mualovera tu we paka,akinyonya akutane na uchungu uliopo hatotamani nyonyo!
Paka mualovera kwenye ziwa wakati akililia nyonyo
Paka mualovera kwenye ziwa wakati akililia nyonyo
Weka plasta nyonyo zote,akilia mwambia donda hiiiyo ataogopa na kuacha sawia.
Mualovera tu we paka,akinyonya akutane na uchungu uliopo hatotamani nyonyo!
±±
±±
Don't try it,uchungu ule kwa mtoto mdogo ni hatari kwa afya yake!
Plasta tu inatosha ila jiandae atalia sana
nitajitahidi kwa hili,asante kwa ushauri,maana sina uzoefu wowote.
Wenzio tumenyonya hadi.unamuambia mama kesho nna mtihani wa hisabati, staki kunyonya nataka nithome kwandha. Muache mtoto bwana, kunyonya kunaongeza akili atii
Habari wana jamvi, kwanza niombe radhi sababu sinahakika kama uzi huu wafaa uwe jukwaa hili.
Pili ,kiukweli naomba ushauri wenu ni njia ipi nitumie ili niweze kumuachisha mwanangu ziwa,anakaribia kutimiza miaka miwili lakini naona mpango wa kuacha yeye mwenyewe hana kabisa,kila kukicha ndivyo anavyozidi kupenda nyonyo zaidi.
Angalizo:- mazingira niliyopo hayaniruhusu kulala vitanda tofauti,au kumpa mtu mwengine alale naye!
Natanguliza shukrani
Mama yangu aliniambia kuwa enzi za utoto wangu alikuwa ananiwekea pilipili kimtindo flani mbaka ninapo acha.
haa haa haa! Nmecheka kweli,wajua nmekua na muda mwingi sana nae niliacha kazi tangu nlipomzaa hadi leo ili nipate kuwa karibu nae nakumtake care mimi mwenyewe,nakubaliana nawe kuwa kunyonya ni vizuri kwa mtoto lakini nami pia nahitaji kuendelea kufanya mambo mengine ya kimaendeleo na sidhani kama kwa umri wake ni mbaya.