Habari wana jamvi, kwanza niombe radhi sababu sinahakika kama uzi huu wafaa uwe jukwaa hili.
Pili ,kiukweli naomba ushauri wenu ni njia ipi nitumie ili niweze kumuachisha mwanangu ziwa,anakaribia kutimiza miaka miwili lakini naona mpango wa kuacha yeye mwenyewe hana kabisa,kila kukicha ndivyo anavyozidi kupenda nyonyo zaidi.
Angalizo:- mazingira niliyopo hayaniruhusu kulala vitanda tofauti,au kumpa mtu mwengine alale naye!
Natanguliza shukrani
Pili ,kiukweli naomba ushauri wenu ni njia ipi nitumie ili niweze kumuachisha mwanangu ziwa,anakaribia kutimiza miaka miwili lakini naona mpango wa kuacha yeye mwenyewe hana kabisa,kila kukicha ndivyo anavyozidi kupenda nyonyo zaidi.
Angalizo:- mazingira niliyopo hayaniruhusu kulala vitanda tofauti,au kumpa mtu mwengine alale naye!
Natanguliza shukrani