Hehehe chezeiya wewe. Yaani maza akirudi unamuwahi na kigoda, afu unamletea na maji ya kunawa. Unamuambia kaa hapa, nawa mikono unitolee nono yangu! Kichwa kinapiga hesabu shaaa!
Seriously. Kwani huyo mtoto kakuzuia kufanya shughuli za kimaendeleo? Acha iwe natural. Kama una shughuli zako toka muache, akiskia njaa atakunywa maziwa ama chakula. Mambo ya kuwekeana shubiri na pilipili ni ukatili wa kizamani huo bwana!
hapo kwenye red...heheheh au ni wa akiume? ameshaanza kupata feeling za asili. kwikwikwiiiii...usipopaka chrologuine haachi.
Anza kumpunguzia muda wa kuvyonya taratibu kama unamnyonyesha mara saba basi mpunguzie taratibu mpaka itafikia mda unamnyonyesha usiku tu mwisho anaacha kabisa.usimwachishe ghafla anaweza kuugua na ww mwenyewe inaweza kukuletea homa!
±±
±±
Don't try it,uchungu ule kwa mtoto mdogo ni hatari kwa afya yake!
Habari wana jamvi, kwanza niombe radhi sababu sinahakika kama uzi huu wafaa uwe jukwaa hili.
Pili ,kiukweli naomba ushauri wenu ni njia ipi nitumie ili niweze kumuachisha mwanangu ziwa,anakaribia kutimiza miaka miwili lakini naona mpango wa kuacha yeye mwenyewe hana kabisa,kila kukicha ndivyo anavyozidi kupenda nyonyo zaidi.
Angalizo:- mazingira niliyopo hayaniruhusu kulala vitanda tofauti,au kumpa mtu mwengine alale naye!
Natanguliza shukrani
Wengine wakiona plasta mpenzi wanabandua ila akila mualovera ule si mchezo mara mbili tu atachaa
Plasta au pamba inahusu. Unamwambia dudu hii.
Halafu pia weka mbadala wa Nyonyo, kama maziwa ya pakti au ya mrija, yani awe anapata maziwa ya kuvuta kama akinyonya nyonyo.
Mimi mtt wa kwanza nlimfanyia hivyo, yani ilikua usiku akiamka kutaka kunyonya nampa kiboksi cha maziwa anavuta kwa mrija.
Wa pili nlimuekea pamba, na usiku nkawa nampa maziwa ananyonya kwa chupa.
haa haa haa! Wewe acha utani bwana.