- Thread starter
- #21
Hehehe chezeiya wewe. Yaani maza akirudi unamuwahi na kigoda, afu unamletea na maji ya kunawa. Unamuambia kaa hapa, nawa mikono unitolee nono yangu! Kichwa kinapiga hesabu shaaa!
Seriously. Kwani huyo mtoto kakuzuia kufanya shughuli za kimaendeleo? Acha iwe natural. Kama una shughuli zako toka muache, akiskia njaa atakunywa maziwa ama chakula. Mambo ya kuwekeana shubiri na pilipili ni ukatili wa kizamani huo bwana!
asante mpenzi kwa ushauri. Kuhusiana na swali ulilouliza situation iko complicated kidogo.