Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Kumuaga boyfriend siku ya Sendoff

Hahaha
Kuna yale manywele wanayoshonea kwa ajili ya kuagwa yanabandikwa mpaka na pini ili yakae vizuri ndio alikuja nayo ghetto yaani alikuwa ana nywele alizotoka nazo kwenye sherehe ya kitchen party ndio akaja ili nimuage. Huwezi kuelewa ila ukikua utajua namaanisha nn

Nimekuwekea na picha kutoka mtandaoni kupanua uelewa wako
View attachment 1147104
 
Umenikumbusha mwaka jana,nilipiga manzi kesho yake send off,alaf baada ya sendoff usku chumbani jamaa akatoka manzi ananipigia simu eti kanikumbuka duhh....mambo ni mengi saa hivi wana mtoto mkubwa tumefanana nae kwa vitu vingi.. Mungu nihurumie
 
Angalia,kuna mwenzio alikwenda kumuaga jamaa yake ikiwa kesho ni harusi yake,jamaa alivyomaliza kumtyomba demu alimfungia kufuli kwa nje demu siku 3 bibi harusi hajaonekana.Na jamaa akasepa zake.
Rare cases
 
Ina maana huyo aliyekuchumbia alikuwa bf 1 au vipi..?
 
Hujawahi penda ile kufa kuoza so kausha
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa

Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako

Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga

Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako

Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao

Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya

Jifunze kuacha
 
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa

Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako

Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga

Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako

Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao

Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya

Jifunze kuacha
Afadhali kidogo hii ya kumuaga boyfriend kuliko hii kitu wanaitaga 'kuvunja jungu'!
 
Na wewe lazima umetombew.a/utatombew.a na mwamba atakuja kukuchora.more you give,more you receive.
Umenikumbusha kuna dada mmoja niliagana nae rasmi baada ya kutoka kwenye kitchen party tuka-do kwa mara ya mwisho yaani nakumbuka zile nywele zake siku ile za kitchen party hata alikuwa hajafumua. Siku ile nilipiga mashine balaa ila alivyoolewa nilimpotezea mazima. Kwenye harusi nilikuwa namchora tu Bw. harusi ha ha ha
 
Nimeoa miaka 15 iliyopita na tulikuwa tunasoma Korea, sijui huyo aliyenitombea aliwezaje kuingia kwenye lile taifa la kibabe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeuwaa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa

Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako

Na hii tabia ya kumuaga boyfriend wako kwa kumpa papuchi na huku kesho au siku mbili zijazo utakuwa kwa mumeo si tabia nzuri hakika kwa kisingizio cha kuagana ni ujinga

Ukichumbiwa achana na boyfriend, wengine watakuharibia ndoa yako

Wengine wakisha olewa wanapanga ratiba ya kwenda nyumbani kwao kisingizio cha kwenda kumsalimia mama kumbe anaenda kwa boyfriend wake wa huko nyumbani kwao

Hii inawahusu wale wenye wachumba ambao wanakaa (Distance) mkoa kwa mkoa,mji kwa mji au nchi kwa nchi,kijiji kwa mji,kijiji kwa kijiji,hii tabia ni mbaya

Jifunze kuacha
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom