Kumuangalia Mayele akitupia kambani na kisha kuitetemesha Nchi na Le dance de Mayele

Mwambie GSM aache kuwapa vipesa vijana uone Mayele kama atafumga goli 10.

 
Hivi kumbe vizazi vya wanaume wa Dar vimeharibika kiasi hiki?

Au ndiyo mambo ya Kabwili FC
S9ma vizuri uelewe, BAADA YA TENDO LA NDOA NI MAYELE. Unatumia Window ngapi kufikiri mzee???
 
Ndo shida yenu madalali wampira na kwawachezaji inakuaje ujadili ujinga huu wezenu Simba Fc wanazidi kujibandikia historia katika soka la afrika nadunia kiviwango.
 
Aliyefanya kuwa anayefunga goli anakuwa na sifa kuliko.anaye assist ndiye aliyeharibu baadhi ya wachezaji kuikosesha timu uashindi au magoli mengi kwa ubinafsi na kutafuta sifa za kuonekana mchezaji bora

Kama mayele baadhi ya nafasi nyingi anazozipata na kupoteza angekuwa anatoa assist yanga ingekuwa na magoli mengi sana

Sasa kwa kuwa anayefunga ndio anasifiwa na yeye anataka ujiko wa kucheza stail yake kaman Ray masterio akikupiga kwenye mieleka lazima akamilishe na six one nine hivyo hivyo kwa mayele anapoteza nafasi nyingi za magoli kwa kulazimisha kufanga hata akiwa kwenye bad angle ili acheze hiyo stail yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…