Kumuangalia vyema mtoto wako

aah!babu tupishe huko inamaana hujui jins ya kuomba game? nimekuuliza mwanao ushamtoboa maskio? jibu nikuelekeze cha kufanya.
Mwanangu mpya ni dume.
Walah sijui kama najua au sijui,maana mie sijawahi kuombwa na wife,mara zote naanzaga mm.
 
sijakupata vizuri ina maana mkeo mlikua hamjazoeana au ulichaguliwa mwambie sometimes awe anakuchokoza halafu inawezekana anakuchokoza kwa vitendo ila hujamsoma.
Hahaha,ok sasa nisaidie jee nikiona dalili gani nitambue kwamba anataka game?
 
Hahaha,ok sasa nisaidie jee nikiona dalili gani nitambue kwamba anataka game?

hii ngumu kumesa hapa si mahala pake ndugu yangu we mweleze ila siku akizidiwa atakuja mwenyewe.kikubwa atakuonesha ishara ya kuwa karibu sana na wewe kwa siku hiyo
 
hii ngumu kumesa hapa si mahala pake ndugu yangu we mweleze ila siku akizidiwa atakuja mwenyewe.kikubwa atakuonesha ishara ya kuwa karibu sana na wewe kwa siku hiyo
Ok,kama hapa ngumu kumesa then nipelekee haya ma education kule mafichoni aka pm then ntayakuta huko.
 
tatu kwa nakishi yyte ile.
Kuna Mwanamke mmoja kaniambia Doctor mzizimkavu mimi ninavaa shanga 50 nilishangaa sana nikamuuliza wewe ni kabila gani akajibu ni mzaramo kasheshe kweli iweje avae hizo shanga50 sio mzigo huo kiunoni unasemaje mkuu... gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Kuna Mwanamke mmoja kaniambia Doctor mzizimkavu mimi ninavaa shanga 50 nilishangaa sana nikamuuliza wewe ni kabila gani akajibu ni mzaramo kasheshe kweli iweje avae hizo shanga50 sio mzigo huo kiunoni unasemaje mkuu... gfsonwin

labda mchawi lolest! shanga zake 3na kwasisi tuliokulia zamani tukaenda unyago tuliambiwa nini maana ya hizi shanga 3 kiunoni. sijui nguo inakaaje jamani.
 

mzizi mkavu msaada wako unatakiwa Wanetu.com :: Elimu kuhusu Ujauzito na Uzazi, Malezi na makuzi ya watoto, Afya ya watoto, Saikoljia, Tabia na Haki za Watoto okoa maisha ya watanzania wenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…