Kumuelezea mpenzi wako historia yako ya kimapenzi kwa ulipotoka ni sawa?

Kumuelezea mpenzi wako historia yako ya kimapenzi kwa ulipotoka ni sawa?

wengi walio kwenye uhusiano mpya huwa wanapenda kumwambia au kumuelezea mpz wake historia yake ya kimapenzi uko alipo toka,utakuta mpz wako anakwambia yaan nilikuwa sijatulia kweli yaani nilikuwa mtu wa mademu au wanaume sana yaan nilikuwa napenda sana starehe.je ipo sana?

Ni vizuri kujua bhanaaaa! unaficha historia yako ili iweje? Si bora tu uwe mkweli tangu mwanzo wa mahusiano kuliko kuamua kumdanganya mwenzio. Haya mambo ya kudanganya danganya ni moja ya sababu mahusiano mengi yanakuwa hayana maisha marefu hasa ikitokea jamaa/dada kuja kujua historia ya mwenzie kupitia kwa watu wanaomfahamu.
 
na usikiapo hiyo past huwa unaiamini? if you really are interested in that past basi know that what is being told is by far half of what actually took place. malizia mwenyewe the untold part. by the way why should you want to know all that? someone sang 'mlaji ni mla leo mla jana kala nini...?' kuna ukweli ktk hilo. too much reveration would spoil the meal and close the casket!
 
chauro umeweka sawa wengine ukimweleza kama ni mbaya itatumika kukuadhibu baadae.
 
Jamaa alikuwa kamtongoza dada mwenye kazi kazi nzuri sana lakini bahati nzuri walikuwa hawajawahi kufanya chochote kimapenzi. Siku hiyo jamaa kamtoa mpenzi wake kwa dinner na kuruka majoka. Alishawahi kuulizia historia ya mdada hakuambiwa chochote kile ambacho kilimshtua. Kule kwenye kuruka majoka alikutana na marafiki zake wakamshtua aisee huyu dada ni aje? Jamaa akasema ndio shemeji yenu huyo ambaye tumeanza uhusiano naye hivi karibuni. Marafiki wakamwambia mbona tumewahi kusikia kaathirika na alikuwa na jamaa yake ambaye inasemekana ameshafariki. Jamaa ndio kushtuka na kuanza kumdodosa rafiki yake naye kudai hajui kama kaathirika ila ni kweli jamaa yake alifariki miezi ya karibuni. Njemba ikamuomba wakapime kama wote ni wazima, dada akamtolea nje.

Kesi kama hii je hutapenda kuijua mapema ili ujiepushe? Kama si marafiki huyu jamaa naye si ajabu baada ya muda mfupi angekuwa muathirika. Ndio unaweza kabisa kudanganywa lakini ni bora kuuliza udanganywe kuliko kutouliza chochote na baadaye kubaki unajilaumu.
 
elezea kama unajua hupiti, kama unapita uelezee ya nini?
 
Jamaa alikuwa kamtongoza dada mwenye kazi kazi nzuri sana lakini bahati nzuri walikuwa hawajawahi kufanya chochote kimapenzi. Siku hiyo jamaa kamtoa mpenzi wake kwa dinner na kuruka majoka. Alishawahi kuulizia historia ya mdada hakuambiwa chochote kile ambacho kilimshtua. Kule kwenye kuruka majoka alikutana na marafiki zake wakamshtua aisee huyu dada ni aje? Jamaa akasema ndio shemeji yenu huyo ambaye tumeanza uhusiano naye hivi karibuni. Marafiki wakamwambia mbona tumewahi kusikia kaathirika na alikuwa na jamaa yake ambaye inasemekana ameshafariki. Jamaa ndio kushtuka na kuanza kumdodosa rafiki yake naye kudai hajui kama kaathirika ila ni kweli jamaa yake alifariki miezi ya karibuni. Njemba ikamuomba wakapime kama wote ni wazima, dada akamtolea nje.

Kesi kama hii je hutapenda kuijua mapema ili ujiepushe? Kama si marafiki huyu jamaa naye si ajabu baada ya muda mfupi angekuwa muathirika. Ndio unaweza kabisa kudanganywa lakini ni bora kuuliza udanganywe kuliko kutouliza chochote na baadaye kubaki unajilaumu.


Katika dunia ya leo.......hivi kunawatu wanaingia kwenye mahusiano bila kupima?????? Hiyo inatisha sana!!! Sasa hivi mpaka makanisani hufungishwi ndoa mpaka mmepima na majibu yameenda kwa pastor moja kwa moja.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kuna demu aliniambia mie nimefanya mara moja tu! eti ana sisitiza kabsaa tena na MHINDI hakujua jinsi alivyo ni piss off! mbaya zaidi akajidai kubaaaana sana! alipoona spidi imekata akaja ghafla kuniletea mzigo, jamani akina dada mtanisamehe si kumdhalilisha mtu alikuja na khanga kaiweka begani nikamuuliza mbona khanga begani waenda kitchen arty weye? akasema nimekuletea zawadi, story iliyokuwa kichwani mwangu zile za kijiweni ukiona demu kaja rasmi na khanga ujue mtakausha maji mpaka mchoke, guys lisemwalo lipo, kwa macho ukimuona kweli ni km ku strike gold yaani she was mwaa! bana eeenh game liipoanza duh ni kupiga deki tuuuu argh. kwa kweli usiombee ni km kuvuka swamp maji magotini. game kwisha she was like nisamehe kuna dawa za uzazi wa mpango akinywa ndo zinamfanya awe hivyo ooh my! she was on tears eti km vipi nimwambie aache asizitumie heeeey look! so sory game was over! i did regret.
 
mie wa kwangu alinieleza kila kitu. jamaa yake wa kwanza jinsi walivyokuwa wanafukuzana kwenye mikahawa. tukaenda kwenye harusi tukakutana naye! kaoa demu ambaye tulikuwa naye kampuni moja tunafahamiana lkn si washkaji wa karibu! let the past be the past! jinsi alivyomdanganya na kusababisha kumdungungua mapenzi yalivyokuwa motomoto na jamaa akaja haribu wakati wife yupo shule boarding jamaa akammega best friend wake mbaya zaidi kuna mtoto wa std three aliwaona wakimegana. siku wife karudi likizo mtoto akamwambia wife niliwaona flani na flani wakifanya matusi kwenye banda la mbuzi usiku hahaaaa ikawa end of story. jamaa wa pili huko huko migombani kijana tuu lkn alikuwa na chapaa za kutosha akifanya biashara ya ku print tshirt na kuziuza kwa watalii. wakati huo ki pub flani pale moshi kikitwa Albeto walikuwa wanapenda kwenda. kuna kipindi jamaa akipotea km wiki jioni moja wife anatoka moshi mjini akakutana na jamaa hakuwa kwenye mood nzuri akampa lifti kwenye siti ya nyuma ya gari kulikuwa na magwanda ya trafic mh kapuuzia. three month later jamaa alipata ajali mbaya sana uso ukaharibika mnoo lkn hakumwambia wife. siku akaja ambiwa na mama mtu mzima boyfriend wako ni jambazi achana naye. ikifika zamu yangu nikianza kumpa story hatufiki mbali hali ya hewa hubadirika utasikia inawezekana bd mnaendelea hahah hana kifua. ila kuwa muwazi sometimes ni vizuri ingawa si vyema kuanika kila kitu
 
  • Thanks
Reactions: BAK

hivi ni noma ee?....
i608_RegisterJF.jpg

...sasa wengine tulioacha ma CV 'footprints' jamiiforums, mnh!...acha nianze delete thread moja baada ya nyingine!
 
Historia nyingine hazifichiki bwana. Sio ukae kimya halafu baada ya miaka kadhaa uniletee watoto uniambie wana belong to the past sitaelewa! Ficha ile ambayo unajua haita affect our future in any way.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni vema kujua ulikuwa na nani kabla yangu hata kama walikuwa ni wanaume 50 kabla yangu. All I need to know ni kina nani na kwa nini mliachana. That's it. Details sijui mlikuwa nafanya nini 6X6 etc I don't need to hear that crap!
Nikishajua hayo inatosha na tutaanzia pale tulipoanzana, let the past be the past. You have your own your past and I do have mine.
 
wengi walio kwenye uhusiano mpya huwa wanapenda kumwambia au kumuelezea mpz wake historia yake ya kimapenzi uko alipo toka,utakuta mpz wako anakwambia yaan nilikuwa sijatulia kweli yaani nilikuwa mtu wa mademu au wanaume sana yaan nilikuwa napenda sana starehe.je ipo sana?
sio mbaya lakini iendane na msimamo wako.
 
BAK
Sio kudanganya; nikutoongelea unpleasant past, even some pleasant to u! Imagine u r my new boyfriend; halafu nakusimulia ex wangu alivyokuwa anajua majamboz, caring n bla bla na kwamba say wazazi wake hawakutaka aoe non-mhaya n that was the reason mliachana ilhali bado mwapendana; don't u think utaishi kutry tumeet the guy's standard, imagine the frustuation itakayokupata pale utahaporealize that huwezi hata mkaribia?

So mimi nitasema shallow true past bila kuenda kwenye details, n that sio kudanganya!
 
Eti unanipenda..................tafuta kunijua kwanza,kuyajua yale ambayo ungependa kuyajua kupitia source yoyote...............

Baada ya hapo............njoo tena useme kama bado unanipenda.....................

Tuanzie hapo tulipokutana kuelekea mbele.........kama shida ni angaza......milango iko wazi kwetu sote...........

Huwa sijutii past yangu kwani ndio iliyonifanya niwe hivi nilivyo..................hivi ulivyoniona hata ukanipenda...........

Kwa kweli sipendi kujua mengi ya past ya mpenzi mpya.............ukichokonoa sana lazima atakudanya....

Bora nisimuulize kuliko niulize halafu anidanganye!
 
Knye list wanaweza fika kama 41 na zaidi kuna haja ya kumweleza wote? Primary 4 Olevel wa 5, alevel 4 kijijni 4, chuo 6 field 3 kazini 3 mtaani 5 safari za kikazi 7, wote hao nitamweleza atanielewa?
 
Knye list wanaweza fika kama 41 na zaidi kuna haja ya kumweleza wote? Primary 4 Olevel wa 5, alevel 4 kijijni 4, chuo 6 field 3 kazini 3 mtaani 5 safari za kikazi 7, wote hao nitamweleza atanielewa?

Sasa hiyo ilikuwa biashara au ?mmhn!
 
Historia nyingine hazifichiki bwana. Sio ukae kimya halafu baada ya miaka kadhaa uniletee watoto uniambie wana belong to the past sitaelewa! Ficha ile ambayo unajua haita affect our future in any way.

Ahsante sana Ennie 🙂
 
Just tell me who you were seeing before, I'll never ask about him/them again.......and then I shall rest him or all of them in peace and we can have the new beginning and move on from where we started. Remember, it's a taboo to mention our ex's unnecessarily while we are together.
 
Nakuja ngoja kwanza nikachukue ki kokotoleo ndipo nitajua namba kamili
 
Back
Top Bottom