exactly Mentor na hasa kama Past yenyewe ina utata utata hivi unaweza kuspoil kila kitu aisee
Hivi ni kwa nini wengi hasa wasichana utasikia wanasema "wewe ni wa tatu, wa tatu tu, wa kwanza primare, o level nilikuwa na mmoja akanizingua hapa nina miaka 5 sijawa na uhusiano wa kimapenzi" ...dammn,,uwongo mtupu bora wasiseme kabisa....
sasa kama ndio ukweli wenyewe wasiseme!
Tatizo lenu mnaona kila mtu anatembeza hiyo nanihi yake hovyo hovyo ,mnapenda kudanganywa.
wengi walio kwenye uhusiano mpya huwa wanapenda kumwambia au kumuelezea mpz wake historia yake ya kimapenzi uko alipo toka,utakuta mpz wako anakwambia yaan nilikuwa sijatulia kweli yaani nilikuwa mtu wa mademu au wanaume sana yaan nilikuwa napenda sana starehe.je ipo sana?
Ofcourse there is...unless you start off by telling your partner not to ask a single question about your past.As far as your formula is concerned it only works if the other person doesnt ask ... you dont tell. Maybe you should change it from DADT to DABIWT - Dont Ask Because I Wont Tell ...or EIYAIWT- Even If You Ask I Wont Tell.With this principal of Don't ask, don't tell" there is no room to ask for anything!
BAK nakubaliana na wewe mwanzo mwisho.Hicho kisa naomba ukiharakishe maana tayari sili wala sitamani kulala kwa curiousity.Mie nina mifano mingi sana kuhusu issue hii ndio maana napigia debe kujua historia ya mwenzi. Nitauweka mfano mmoja hai hapa nafasi ikiruhusu kama sio leo baadaye basi kesho. Mambo ya kuchukuana kimzobemzobe kama unabeba tenga la nyanya MWIKO! Kama unachukua Changu doa basi hilo linaeleweka 🙂Hata tenga la nyanya utataka kulifungua na kuangalia nyanya kama nyingi ni nzima au zimeshaharibika kabla ya kufanya uamuzi wa kununua tenga lile au kuangalia lingine 🙂Mwanamke/Mwanaume akutaka kukutenda atakutenda tu siyo kwa sababu ya kile ulichomwambia kuhusu mahusiano yako ya nyuma. Ndio maana hata waliokutwa bikira nao wanatendwa katika mahusiano kama wale ambao hawakukutwa bikira.
mchungaji anatufundisha tabia mbaya..! Mi nauliza mwanzo mwisho, na nikiulizwa nasema.Dont ask, Dont tell.....umemsoma mchungaji... (afu wewe!)
ngoja nikuandalie zawadi yako.Usipouliza mara nyingine unaonekana hujali. Kama ni watu mnaotaka kudumu kwenye uhusiano ni vizuri kuulizana. Kama ni kucheza cheza tu haina haja.Maan! Kuuliza au kujua historia ni vyema. Jamani hata km c vyema mie huwa cwez ku2liza nafsi, lazm nikufanyie u-CIA wa nguvu kabla cjajitoa kwako jumla. Hao wanaojidai past doesnt matter wanasema tu ila naturaly lazma utamani kujua past ya mwenzio. Walisema curiosity killed the cat ila bora afe na ukweli uwe wazi. Past inasaidia sn kujua m2 ulienae yukoje so utajiweka tayari kisaikolojia, kimwili na hata kiuchumi....ili kukabiliana na changamoto mbalimbali! UKIWA WANGU JIANDAE KUJIELEZA NA KUCHUNGUZWA TENA SANA....!
Unampa shallow info, bila details! Kuna issue basics mfano kama ulishazaa hizo ni muhimu kushare, but no of lovers how it was haina umuhimu sana!okey asante, je kama akikuuliza?