Uchaguzi 2020 Kumuengua Tundu Lissu ni kumpa ushindi Bernard Membe

Uchaguzi 2020 Kumuengua Tundu Lissu ni kumpa ushindi Bernard Membe

Benson Mramba

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2013
Posts
648
Reaction score
1,485
Lissu amemmaliza Membe! Membe angeungwa mkono na wana CCM ila wanaona alivyozidiwa na Lissu kwa hiyo wanajua hashindi wameachana naye.

Kumuengua Lissu ni kumfanya Lissu amuunge mkono Membe na hivyo kuwapa moyo hadi wale wanaCCM wamuunge mkono. Lissu anaweza kuenguliwa kwa makosa yake ya ujazaji fomu ila sio kwa kusingiziwa.

Hivi leo alienda kuhakiki fomu zake? Au ndio kesho anaenda kupambana na tume hapo kwa hapo?

Binafsi naona hakuna sababu ya kumuengua. Aachwe akashindwe kwa Wananchi.
 
Tokea juzi kuna vikao kati ya jaji kaijage, IGP, Shibuda na Lipumba wakipanga njama jinsi ya kumkomoa Tundu lisu, habari zilizovuja tokea kwa madalali wa CCM waliotengeneza mchongo zonasema Shibuda tayari kapewa Advance dola laki mbili na akifanikiwa kuvuruga uchaguzi atapewa dola laki tano
 
"Lissu anaweza kuenguliwa kwa makosa yake ya ujazaji fomu ila sio kwa kusingiziwa".

Kwa hoja kama hizi ndio maana anawaambia mkimkata hapatatosha.

Hivi hizo fomu ni mpaka uwe kada wa ccm ndio utajua kuzijaza kwa usahihi?
Shubuda keshachukua advance na Lipumba alitarajiwa kupewa leo kwa kazi ya kumvuruga Tundu lisu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
 
Ni sawa na kututapisha then utuamrishe tuyale yote!!
 
Tokea juzi kuna vikao kati ya jaji kaijage, IGP, Shibuda na Lipumba wakipanga njama jinsi ya kumkomoa Tundu lisu, habari zilizovuja tokea kwa madalali wa CCM waliotengeneza mchongo zonasema Shibuda tayari kapewa Advance dola laki mbili na akifanikiwa kuvuruga uchaguzi atapewa dola laki tano
Tunamwua labda ahame mtaa! Hizo hela zitaliwa na waombolezaji!
 
Back
Top Bottom