Kumuenzi Maalim, CHADEMA inakwenda kuwa na nguvu Zanzibar kuliko ACT, Zitto amepotea

Kumuenzi Maalim, CHADEMA inakwenda kuwa na nguvu Zanzibar kuliko ACT, Zitto amepotea

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Wazanzibar Wana msimamo, Maalim alitambua msimamo wa Wazanzibar akasimama nao. Wakaua Cuf lakini Maalim alibaki kuwa Imara. Amendoka Maalim amewaacha Wazanzibar wakiwa na chama kisicho na msimamo.

Madhara yake Wazanzibar awabadiliki kimsimamo hivyo chama hakiwezi kuwa zaidi Yao. Kukosa Imani na ACT kunapelekea wakiangalie CHADEMA kama chama kinachoweza kukidhi matakwa Yao.

Ni mtu mfupi tu waja Makamu wa Rais Zanzibar atashindwa kuyaishi maisha ya ACT ambayo yanategemea maono ya kiongozi mkuu. Tusipuuze nafsi zenye msimamo Kwa tamaa ya Mali, CHADEMA kuwekeza Zanzibar ni agenda, isimamieni
 
Kwa wenye macho ya kuangalia hapo karibu hawawezi kukuelewa mtoa mada ila kwa wenye utashi tunaelewa, chadema mkiwasikiliza wazanzibari na kuingia ndani basi mtaweza kuishi kwenye hiyo nyumba.
 
msaidizi mkuu wa Maalim Ismail Jussa yupo upande gani? alipo yeye ndipo penye support ya wazanzibar. Chadema kama mupo vizuri jaribuni kufanya usajili mumsajili.
 
Wananchi wengi hawana imani na huyu jamaa..!! Leo ndiyo kaharibu kabisaa.
 
Wazanzibari waje chadema kuongeza nguvu ya pamoja. Tutapata katiba mpya na tume huru. Waachane na huyu Mrundi na CCM B yake.
 
kwa hiyo mr kiongoz wazalendo hana tofauti na pro lipumba? hapa maalim hakuwaachia chama cha kusimamia utamaduni wawazanzibar hasa siasa za kule visiwani, sera na misimamo ya chadema inaendana sana nawazanzbar japo hawawezi walaum walioamua mbadala wa cuf uwe act
 
Back
Top Bottom