Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?

Magufuli alikuwa akikosolewa anasema anatukanwa na anazidisha ukatili

Mfano Makonda alipovamia Clouds na watu wakataka aondolewe Magufuli akasema hatamuondoa sababu watu wanampàngia
 
Hakuna anayemuenzi Yule Ibilisi
Unaona kabisa unaongopa unajifaliji Aya kama nchi nzima hatumtaki anzisheni chama Cha kupinga sere za magufuri mtachukua nchi😂😂😂 uliza kwanini chama Cha sera zake wamegoma kukisajiri
 
Lousy looser
 
Unaona kabisa unaongopa unajifaliji Aya kama nchi nzima hatumtaki anzisheni chama Cha kupinga sere za magufuri mtachukua nchi[emoji23][emoji23][emoji23] uliza kwanini chama Cha sera zake wamegoma kukisajiri
Chama cha Sukuma gang kimejifia xhenuewe kabla hata ya kuanza
 
Ila Wasukuma Ni Watu Wa Hovyo Sana.

Mbona Wenzenu Wa Kusini Hatuwasikii Wakingangania Ndugu Yao Mkapa Ahenziwe.
Mna shida gani lkn Nyie Nzilankende
 
Hujaweka bandiko la kumkemea kwa teuzi zake utadhani anatafuta viongozi wa Parokia

 
Tujikumbushe spana
 
Nadhani miaka mitatu inatosha, sasa spana zianze!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…