Hawa mie nishawadharau kitambo sana manake wanaonesha dalili zote za ujuha! Yaani ukiangalia energy wanayotumia kuhakikisha Chibu hafikiki kokote unafahamu wazi kwamba ni juha peke yake ndie anaweza kushindana na nguvu za Mungu!Mkuu baada ya kujiunga na team wema, wamebadili ushambuliaji sasahivi ni mwendo wa matusi na ramli lakini bado mambo magumu..
Na ukitaka kujuwa chuki kwa chibu ni kubwa kuliko upendo kwa msanii wao, sasahivi karibu wote mitandaoni wameweka link za BET kupiga kura kwa wizkid, badala ya youtube link ya Kiba..
Mkuu baada ya kujiunga na team wema, wamebadili ushambuliaji sasahivi ni mwendo wa matusi na ramli lakini bado mambo magumu..
Na ukitaka kujuwa chuki kwa chibu ni kubwa kuliko upendo kwa msanii wao, sasahivi karibu wote mitandaoni wameweka link za BET kupiga kura kwa wizkid, badala ya youtube link ya Kiba..
Kuna mwalimu wangu ameshawahi kusema "Hakuna mzigo mzito duniani kama chuki, na ukiuta utakuwa huru"Mkuu baada ya kujiunga na team wema, wamebadili ushambuliaji sasahivi ni mwendo wa matusi na ramli lakini bado mambo magumu..
Na ukitaka kujuwa chuki kwa chibu ni kubwa kuliko upendo kwa msanii wao, sasahivi karibu wote mitandaoni wameweka link za BET kupiga kura kwa wizkid, badala ya youtube link ya Kiba..
yes, nawasubilia japo kuwa hawakosi cha kukosoa, kuna mmoja alisema anamchukia diamond kwa sababu sio mzalendo,, kazaa na mganda baada ya kuzaa na mtanzania.Naona umeamua kuwambua misukule!
hahaha! eti mchawi anayechipukia.Mleta Mada wee Ni Mchawi Hakika, Tena Mchawi Mchanga angalia Sana.
Sio kigagura Mwenyewe Hyo Mkuu.hahaha! eti mchawi anayechipukia.
Mchawi wa mwendo kasi.hahaha! eti mchawi anayechipukia.
mkuu unamaanisha nan kapewa sifa asizo stahiki?nyie mlimpa sifa hasizostahili hvo fans wamechoka kumbatia ujinga
mbona siyo sentensi tata? kweli hujanielewa, siaminmkuu unamaanisha nan kapewa sifa asizo stahiki?
hio ni sentens tata mkuu utata wake unakuja pale mada inamuhusu rais wa wasafi na mwana dsm afu wote wanapewa sifa so cjajua yupi anaevishwa crown ilio mzid kichwambona siyo sentensi tata? kweli hujanielewa, siamin
Leta mrejesho tupo mwaka 2016 sasa kaburi vipi lishajengewa[emoji23]Mda wa diamond umekwisha,Jana ndo kaburi lake la mziki
Hujambo lakini vp maendelea ya diamomd toka 2014 hadi sasa 2016Kwa sie wapenzi wa Ndomo,yawezekana itachukua muda mrefu sana kulisahau hili tamasha la fiesta 2014 maana limekuwa kama mkuki kuchoma kwenye kidonda,wakati mashabiki wake tukijua na kuamini Diamond yuko
kwenye PEACK ( au climax yenyewe ile) ghafla hatuamini wala kusadiki kile kinachotokea usiku wa jana pale leaders club.
Kwa mara ya kwanza Diamond aka sukari ya warembo anazomewa akiwa jukwaani,na kibaya zaidi anazomewa karibu na umati wote,..inahuzunisha sana,inatia hasira sara,inafedhehesha sanaa,INAUMIZA zaidi pale Ally Kiba anapomfunika Dimond kwa mbali sana,Ally Kiba kashangiliwa sana,..yaani mtu ambaye siku mbili zilizopita Dimond alitangaza kumsaidia kufanya collabo ili amuinue ndiye anamfunika..hii haita kaa kamwe itoke kichwani kwa Dimond na mashabiki wake.
Baada ya tukio hili,ambalo naweza sema ni baya sana kibiashara kwa Diamond hapa Tanzania,yamejitokeza makundi ambayo yanataka kumtetea Diamond au kugeuza hali halisi ya jana kuwa tofauti,baadhi yao wamekuja na hoja dhaifu kabisa kama vile
1/Mashabiki walitengenezwa kumzomea Dimond
2/Dimond anachukiwa na Watanzania
3/Dimond ni wakimataifa hata watanzania tukimchukia mataifa mengine yatamuabudu
4/clouds wametengeneza watu wazomee kumshusha Dimond
5/Watanzania hatujui vizuri ndio maana wamemshangilia Kiba
6....
Kiukweli ukiangalia hizo sababu hapo hata moja yenye mashiko haipo,hazina msing wala hazina ukweli,DIMOND SI WA KIMATAIFA kumlinganisha hata na Davido,acha hao wa kimataifa wenyewe,wala huwezi mlinganisha hata na Jay D, Dimond bado ana kazi kubwa ya kufanya kufikia kuitwa wa kimataifa,kwenda kuwaaimbia wabongo wanaoish marekani etc haitoshi kujiita wa KIMATAIFA.
Dimond,yawezekana umeanza kuchukiwa na Watu,sio kwa sababu yako,ila kuna timu yako unawalipa kwaajili ya PR wanashinda kwenye mitandao hao ndio wanaokuharibia,hawajui misingi ya PR..wanapost utumbo watu wakiponda wanarudi kuwajibu kwa kejeli na matusi hatimaye hasira zaja kwako,change hiyo timu ya PR,muangalie Jay Dee anafanyaje kwenye mamabo ya PR...
Kila la kheri Dimond..
Hilo kaburi liko sehemu gani mkuu..? Mpaka leo hajazikwa tuMda wa diamond umekwisha,Jana ndo kaburi lake la mziki
Kitambo hatujaonana mkuuKwa sie wapenzi wa Ndomo,yawezekana itachukua muda mrefu sana kulisahau hili tamasha la fiesta 2014 maana limekuwa kama mkuki kuchoma kwenye kidonda,wakati mashabiki wake tukijua na kuamini Diamond yuko
kwenye PEACK ( au climax yenyewe ile) ghafla hatuamini wala kusadiki kile kinachotokea usiku wa jana pale leaders club.
Kwa mara ya kwanza Diamond aka sukari ya warembo anazomewa akiwa jukwaani,na kibaya zaidi anazomewa karibu na umati wote,..inahuzunisha sana,inatia hasira sara,inafedhehesha sanaa,INAUMIZA zaidi pale Ally Kiba anapomfunika Dimond kwa mbali sana,Ally Kiba kashangiliwa sana,..yaani mtu ambaye siku mbili zilizopita Dimond alitangaza kumsaidia kufanya collabo ili amuinue ndiye anamfunika..hii haita kaa kamwe itoke kichwani kwa Dimond na mashabiki wake.
Baada ya tukio hili,ambalo naweza sema ni baya sana kibiashara kwa Diamond hapa Tanzania,yamejitokeza makundi ambayo yanataka kumtetea Diamond au kugeuza hali halisi ya jana kuwa tofauti,baadhi yao wamekuja na hoja dhaifu kabisa kama vile
1/Mashabiki walitengenezwa kumzomea Dimond
2/Dimond anachukiwa na Watanzania
3/Dimond ni wakimataifa hata watanzania tukimchukia mataifa mengine yatamuabudu
4/clouds wametengeneza watu wazomee kumshusha Dimond
5/Watanzania hatujui vizuri ndio maana wamemshangilia Kiba
6....
Kiukweli ukiangalia hizo sababu hapo hata moja yenye mashiko haipo,hazina msing wala hazina ukweli,DIMOND SI WA KIMATAIFA kumlinganisha hata na Davido,acha hao wa kimataifa wenyewe,wala huwezi mlinganisha hata na Jay D, Dimond bado ana kazi kubwa ya kufanya kufikia kuitwa wa kimataifa,kwenda kuwaaimbia wabongo wanaoish marekani etc haitoshi kujiita wa KIMATAIFA.
Dimond,yawezekana umeanza kuchukiwa na Watu,sio kwa sababu yako,ila kuna timu yako unawalipa kwaajili ya PR wanashinda kwenye mitandao hao ndio wanaokuharibia,hawajui misingi ya PR..wanapost utumbo watu wakiponda wanarudi kuwajibu kwa kejeli na matusi hatimaye hasira zaja kwako,change hiyo timu ya PR,muangalie Jay Dee anafanyaje kwenye mamabo ya PR...
Kila la kheri Dimond..
Hii thread inathibitisha kabisa kwamba chuki, wivu na kuombeana mabaya havijawahi kushinda
'nyie" ndo kina nani hao? na fans ndo kina nani? au fans wa nani? na sifa gani asizostahili hzo? nielimishe tafadhari.nyie mlimpa sifa hasizostahili hvo fans wamechoka kumbatia ujinga