Mia tisa itapendeza
Member
- Dec 7, 2017
- 41
- 27
Mkuu samahani,Sio kweli mkuu pambana tu na hali yako mkuu
Wanaume wa dar mnahangaika sana kuoa hawo CBE felia wasio weza hata kuzungusha viuno kaz yao kuvaa wigi zinazonuka kama kichoo kidogo na kufuga mikucha bandia bandia kama majini
Tupe CV ya Bibi yako, mama yako , shangazi na dada zako!!Hapo vip!!
Katika karesearch changu niliyofanya, nimegundua wanawake wengi ambao nwachawi na washirikina dhidi ya waume zao au watu wengine ni wanawake ambao hawajasoma.
Ukiwa mwanaume umesoma then ukamuoa mwanamke ambaye hajasoma, kama sio muelewa juu ya kuwa busy sana na mambo ya ofisini, nirahisi sana yeye kukuendea kwa mganga, akiamini akikupiga libwata hautomuache then ukawaoa wasomi wenzio.
Nb siwadharau wanawake ambao hawajasoma bali nimeona niweke ualisia ulivyo.
Exactly kuna mijinaume mingine imesoma na ni mijitu mizima lakin kutwa kuloga mpaka wake zao kisa tu hawajiaminiUshirikina Hauna Kipato, elimu Wala jinsia.endelea kujidanganya
Huwa wanandham mno mkuu,,, acha tuKwa zama hizi bora nioe mwanamke ambaye hana elimu sana anaweza kuwa msikivu kuliko hawa wanaoishi kwenye Expansion Joints.
Mkuu nipeelimu kidogo tafadhali; kiuhalisia ukioa ambaye hajasoma hata sekondari, hawezi kuwa mzigo kwako?Daaahhhhh umekosea sana mkuuuu .
Mwanamke asiye naelimu kubwa daahhhhh nimtunzaji mzuri wafamilia na anayejali mumewe kupita kiasi.
Sema nn ,,kumpata mwanamke mwema ,ndo swali !!!.
Sema ukweli mkuu, wako hajasoma?Mtoa mada ata kua ni wale wanaopenda kupakatwa.
Bibi yake na mama yake ni/walikuwa waganga Wa kienyeji.Tupe CV ya Bibi yako, mama yako , shangazi na dada zako!!