Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ukweli Mungu yupo kila pahali, hayo makanisa huwadanganya watu kuwa Mungu yupo kwa hayo makanisa tu 😂Yaani huwa wanaona Mungu yupo huko tu!,na kwewye Makanisa yetu formal hayupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli Mungu yupo kila pahali, hayo makanisa huwadanganya watu kuwa Mungu yupo kwa hayo makanisa tu 😂Yaani huwa wanaona Mungu yupo huko tu!,na kwewye Makanisa yetu formal hayupo.
Mimi nampango wa kwenda kumuona soon , nitaleta mrejeshoUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Yaani pentecostal churches huwa wanajiona bora sana kuliko watu wengine wowote.Ukweli Mungu yupo kila pahali, hayo makanisa huwadanganya watu kuwa Mungu yupo kwa hayo makanisa tu 😂
Kama ni semina na uimbaji pamoja na maombezi mbona hata mwl Mwakasege anafanya hayo yote vizuri sana kuwazidi hata hao wapentekosti?semina za Neno la Mungu kwa wingi na uimbaji.
Mwakaseghe semina zake ni mwaka hadi mwakaKama ni semina na uimbaji pamoja na maombezi mbona hata mwl Mwakasege anafanya hayo yote vizuri sana kuwazidi hata hao wapentekosti?
Umewahi kusikia Mwakasege akiponda wengine?
Wapentekosti wa leo ni mbumbumbu mno na ndio maana hujisifu.
Ni kweli kabisa, nilitumia nguvu za ziada kumchomoa mwenzangu huko, so najua vizuri sana. Hata tabia zinabadilika kabisaShida ya Makanisa haya ya kiroho
Ukianza kusali ni kazi sana kujitoa.
Yaani utashikiliwa huko, hawataki uondoke...
Na ukiondoka utaonekana mbaya,umepotea,,,utaanza kusemwa.
Yaani huwa wanaona Mungu yupo huko tu!,na kwewye Makanisa yetu formal hayupo.
Umempikia vita mwenzio dhidi ya wenzieNi kweli kabisa, nilitumia nguvu za ziada kumchomoa mwenzangu huko, so najua vizuri sana. Hata tabia zinabadilika kabisa
Ukishaona mwanamke anashindia kanisani siku nzima ya jumapili na siku kadhaa za wiki, hapo nyumba inaenda kusambaratika. Mtumishi anakuchukua, mnaenda kwenye ATM unatoa pesa unampa kama mkopo then harudishi. Na hizo pesa unampa mimiUmempikia vita mwenzio dhidi ya wenzie
Ungemuacha tu atoke taratibu.
Kushinda Kanisani siyo tatizo Mkuu.Ukishaona mwanamke anashindia kanisani siku nzima ya jumapili na siku kadhaa za wiki, hapo nyumba inaenda kusambaratika. Mtumishi anakuchukua, mnaenda kwenye ATM unatoa pesa unampa kama mkopo then harudishi. Na hizo pesa unampa mimi
Sema picha ya tapeli tafadhaliPicha za kuhani tafadhali
ulifanikiwa kimaisha?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Mtafute Yesu hapo sipo ogopa sana mitume na manabii usiende hukoKwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Sadaka ni ya kwanza tumchaga wapi na wapi akawa nabii sijui mtume, kweli miaka hii mmepigwa sana nasikia jamaa anajenga hekalu baabkubwa kuliko lile la wakatoliki , ila haya makanisa saccos Mungu aingilie kati tu maana mijitu inaonewa na kukamuliwa mno kama mazuzu